Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 579
- 887
WanaJF nimemfuatilia Mwigulu toka aingie wizara ya fedha hadi kwenye mjadala wa Katiba naona matamko na misimamo yake imekuwa positive yenye kujenga na ya kisomi zaidi kuliko uhafidhina aliokuwa nao awali hivi ni nini kimembadilisha?Kwa Mfano nimemsikia kwenye Bajeti 2014/15 akiwabana Matajiri bila woga kwenye kodi na kwenye Bunge la Katiba nimemsikia akipinga Wabunge waliotaka kupandishiwa posho na sasa anapinga suala la Bunge la Katiba kwenda kuteketeza hela za wananchi bila maridhiano ili kupata theluthi mbili,Nini kimembadilisha Mwigulu?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums