Cybercrime
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 3,246
- 1,113
Mwigulu ndo mwanasiasa, siyo akina SLAA na MBOWE wanaodhani kila lifanywalo na CHADEMA ni Jema. Mwigullu angekuwa CHADEMA angeshaitwa msaliti, safi sana CCM kwa demokrasia.
amegundua yeye ndie mwanasiasa alie jenga sana chuki hapa nchini, na pia amejuwa kuwa yeye ndie mwanasiasa asie pendwa kuliko wote hapa nchini.