sir venance
Senior Member
- Oct 26, 2017
- 151
- 222
Kama kichwa kinavyojieleza hapo, wadau wenzangu wa thé blues inaonekana msimu huu kwetu ni mgumu, kuanzia epl na hâta uefa, ukiachilia mbali kuumizwa na matokeo kama shabiki, vilevile kuumizwa na kuliwa na mhindi, kitu gani hasa kinaikumba hii timu ?