Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,423
- 7,911
Wana jf kama kichwa kinavyojieleza, nafikiri huyu mzee keshaisahau ile nguvu ya mashabiki wa mnyama juu ya kile wanachokipenda.
Inaonekana huyu mzee sijui anabifu gana na Mosze mpaka game ya bonanza hampi nafasi akihofia atamuumbua kwa kandanda safi atakalolicheza.
Hivi kweli Mosze niwakuwekwa benchi na mzee saido?
Yaani mtaalamu Mosze anakaa benchi dakika 90 huku kibu akivumiliwa licha ya kushindwa kuonesha makeke?
Kweli kabisa onana nakigoli chake hicho cha bahati na mbwembwe za kisharobaro anamweka benchi Mosze?
Nasemajeee? Kama vepe mzee wa boli itembee apewe timu siyo huyu kocha mwenye wenge.
Kuelekea ngao ya jamii kule tanga, wana jf wenzangu na tunaoamini kabisa kuwa Mosze ni goal machine, tupaze sauti huku tukibeba mabango ya turudishie Mosze uwanjani mpaka yule mzee atie adabu.
Kampeni ianze sasa, nitakuwa mmoja kati ya watu watatu watakaokuwa wamebeba bango kubwa la kumtaka kocha atupe kile tunachokiamini.
Mwanzoni mwa msimu jana Mosze alitwambia atabeba kiatu cha dhahabu, ila ROBHATI????
Inaonekana huyu mzee sijui anabifu gana na Mosze mpaka game ya bonanza hampi nafasi akihofia atamuumbua kwa kandanda safi atakalolicheza.
Hivi kweli Mosze niwakuwekwa benchi na mzee saido?
Yaani mtaalamu Mosze anakaa benchi dakika 90 huku kibu akivumiliwa licha ya kushindwa kuonesha makeke?
Kweli kabisa onana nakigoli chake hicho cha bahati na mbwembwe za kisharobaro anamweka benchi Mosze?
Nasemajeee? Kama vepe mzee wa boli itembee apewe timu siyo huyu kocha mwenye wenge.
Kuelekea ngao ya jamii kule tanga, wana jf wenzangu na tunaoamini kabisa kuwa Mosze ni goal machine, tupaze sauti huku tukibeba mabango ya turudishie Mosze uwanjani mpaka yule mzee atie adabu.
Kampeni ianze sasa, nitakuwa mmoja kati ya watu watatu watakaokuwa wamebeba bango kubwa la kumtaka kocha atupe kile tunachokiamini.
Mwanzoni mwa msimu jana Mosze alitwambia atabeba kiatu cha dhahabu, ila ROBHATI????