Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,314
Mkuu hapa huwa nabakia kutoelewa kitu kama roho (soul) ndio inakufanya wewe uwe wewe hapo ubongo unanafasi gani maana kitu kinachomfikilisha mtu ni ubongo kwa maana hiyo tuamini kuwa ubongo ndio Roho.
Mwanzo 2 : 7
Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.