Monstgala
JF-Expert Member
- Aug 25, 2009
- 1,079
- 1,034
- Thread starter
- #41
mkuu Monstgala A.K.A Mgalanjuka, kuna msemo unasema "akili nyingi huondoa maarifa"
wee jamaa una akili nyingi sana, hivi maarifa unayo kweli wewe ??(jocking)
mkuu Monstgala, kutokana na mfano wako wa kiwiliwili cha bondia na kichwa cha mwanasoka, vikiunganishwa na kuwa mwili mmoja ((labda tumuite NEW huyu mtu mpya)) hii kitu itakua ngumu kidogo kuielezea nani atakua nani na kwanini
japokuwa kichwa cha mwanasoka kina kiwiliwili cha bondia basi hii haimaanishi kuwa huyu jamaa NEW ataweza kurusha yale mangumi ya bondia
kuna baadhi ya emotions zinahifadhiwa ubongoni kwa mfano fear, love, attitude, hate etc. na sizani kama mtu aliyepo ulingoni na aliyepo uwanjani perceptions zao zifanana, basi hapo utakuja utofauti kwani usije shangaa huyu jamaa NEW mkampeleka akazichape ulingoni akakimbia yale makonde ya CHEKA, vivyo hivyo kwa upande mwingine mkampeleka NEW uwanjani kucheza soka halafu ashindwe kufanya lolote japo alikuwa mkali kama C.LONARDO.
mkuu, kwa maoni yangu huyu NEW atakuwa na percentage kubwa ya uanasoka na si ubondia japo sote tunajua kuwa mwili ni system of systems, ukipunguza kakitu kamoja tu kwenye system baaasi unabadilisha mwenendo wa system nzima
mf. ukiondoa pinna kwenye mfumo wa kuckia kila mtu anajua madhara, therefore huyu mtu kwenye utekelezaji kazi nazani ataweza kuwa mwanasoka kuliko bondia and not 50-50
nisahihishe mkuu
.made in mby city.
Hapo kwenye highlight, hii nadharia inakuwa na changamoto kutoka kwa mhusika mwenyewe sio wale wanaomuona. Nina maana yeye mwenyewe, mwanasoka akiamka kutoka katika hiyo operation atakuwa au atajiona ni yupi? kichwa chake katika mwili mwingine au mwili katika kichwa kingine? Ndio wazo hili linapoegemea.