Nini kinaendelea Ngorongoro?

Nini kinaendelea Ngorongoro?

MTAZAMO

Platinum Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
19,990
Reaction score
34,838
Wakuu,

Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.

Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!

Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
 
Wakuu,

Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.

Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!

Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Ngorongoro kunawaka moto. Serikali ya mchongo haina habari na magumu wanayopitia wananchi wake. Serikali iko bize na matajiri wa ROYO TUWA, MAFISADI ya PAPA na chwawa wake
 
Wakuu,

Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.

Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!

Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Kwani Wamaasai wa Ngorongoro thamani yao sawa na wakojani.
 
Cc denooJ tumeshapotezea hili mara hii? Yaani hamna hata mwenye habari? Kwa staili hii serikali itatuchukulia serious kweli kwenye suala la bandari?
How mbunge akamatwe bila kufuata taratibu na kupotea siku kadhaa hajulikani alipo alafu wote tunakaa kimya? Hata wabunge wenzake? Vyombo vya habari? Wananchi wake? Kama ni mhalifu si zipo njia za kisheria?

Kama mbunge anaweza kupotea ghafla namna hii vipi raia wa kawaida? Mkuu wa nchi ameunda hadi tume ya haki jinai na kuapa kuhakikisha mapendekezo yanafanyiwa kazi. Sasa mambo gani haya?
 
Wakuu,

Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.

Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!

Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Nani kasema hajulikani wakati katiwa Mbaroni na Polisi baada ya kusakwa Kwa siku kadhaa?
 
Ngorongoro kunawaka moto. Serikali ya mchongo haina habari na magumu wanayopitia wananchi wake. Serikali iko bize na matajiri wa ROYO TUWA, MAFISADI ya PAPA na chwawa wake
Halafu kuna machawa wanaendelea kuimba na kusifu na kukanyaga watanzania wenzao kwa vipande vya fedha wanazohongwa na hao wabulushi!
 
Wakuu,

Huko Ngorongoro yanasemwasemwa mengi huko X na bahati mbaya vyombo vya habari havitoi taarifa za kinachoendelea. Mbunge wa huko inasemekana amekamatwa mpaka sasa haijulikani alipo na bahati mbaya kila mtu, kila chombo cha habari na taasisi zingine ikiwemo Bunge na wabunge wenyewe wako kimya.

Haya mambo yatolewe ufafanuzi nini kinaendelea, kwanini mwakilishi wa wananchi hajulikani alipo mpaka sasa. Vyombo vya habari na wana habari wanakiri kila kukicha kuwa wapo huru lakini tunaona jinsi habari zingine wanavyoziepuka!

Tunasubiri tena waraka wa TEC tuone wanachanganya dini na siasa? Nini kinaendelea Ngorongoro?
Wanakutafutwa wanakupatikana🏃🏃
 
Clip ipo ikimuonesha akitoa Au pandikiza chuki kwa wananchi kuwa piga na kuwa fanyia vurugu polisi na wanahabari
Sasa hiyo clip si ushahidi wa kumpeleka mahakamani? Taratibu na sheria si zipo?
 
Back
Top Bottom