ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 20,026
- 46,176
Mbona utu hakuna wala hofu mauaji yameendelea sana.
Mambo ni mengi sana watu wamekosa hofu ya Mungu ingekuwa dini zingefuatwa basi vita ingesimama.
Shetani amejinyanyua sana tumechoka kusikia kila siku watu wanakufa.
Vita isimamishwe basi watu kweli wanaangalia hiki kinachofanyika.
Usawa uko wapi nini maana ya uhai au utu?
Mambo ni mengi sana watu wamekosa hofu ya Mungu ingekuwa dini zingefuatwa basi vita ingesimama.
Shetani amejinyanyua sana tumechoka kusikia kila siku watu wanakufa.
Vita isimamishwe basi watu kweli wanaangalia hiki kinachofanyika.
Usawa uko wapi nini maana ya uhai au utu?