tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,145
Ni miezi takribani miwili sasa toka
ifanyike mitihani ya CPSP, November 12 mpaka november 16. Kwa kawaida
matokeo hupishana na yale ya CPA kwa wiki moja, kama tunavyopishana katika kufanya mitihani. Ila cha kushangaza matokeo hawayatoi na hakuna taharifa yoyote juu ya dansi wanazozicheza.
Kinachogomba hapa ni namna
wanavyoshindwa kuelewa athari za
kuchelewesha matokeo (sijui kama ni
makusudi ama laa). Hawatoi matokeo
wakati wanajua ili kwenda stage
zinazofuatia lazima uone matokeo ili ufanye usajiri, ulipe ada na
kuhudhuria review classess.
My take; Inasemekana siasa na kuhujumiana zimeingia pale na ndiyo chanzo cha matatizo yote haya.
Mods naomba msiihamishe hii, nadhani hapa ni rahisi kupata majibu ya kinachoendelea bodi na wizarani pia.
Asanten!!!
ifanyike mitihani ya CPSP, November 12 mpaka november 16. Kwa kawaida
matokeo hupishana na yale ya CPA kwa wiki moja, kama tunavyopishana katika kufanya mitihani. Ila cha kushangaza matokeo hawayatoi na hakuna taharifa yoyote juu ya dansi wanazozicheza.
Kinachogomba hapa ni namna
wanavyoshindwa kuelewa athari za
kuchelewesha matokeo (sijui kama ni
makusudi ama laa). Hawatoi matokeo
wakati wanajua ili kwenda stage
zinazofuatia lazima uone matokeo ili ufanye usajiri, ulipe ada na
kuhudhuria review classess.
My take; Inasemekana siasa na kuhujumiana zimeingia pale na ndiyo chanzo cha matatizo yote haya.
Mods naomba msiihamishe hii, nadhani hapa ni rahisi kupata majibu ya kinachoendelea bodi na wizarani pia.
Asanten!!!