Babu sea JF-Expert Member Nov 14, 2013 953 742 Jul 1, 2020 #1 Je, kinachomfanya mtu afaulu? Nikua na akili au kufikiri? Mimi naona ni kufikiri, maana kila mtu ana akili lakini uwezo wa fikra ni tofauti. Na hata kama ukisoma halafu huwezi kufikiri lazima utakua roboti.
Je, kinachomfanya mtu afaulu? Nikua na akili au kufikiri? Mimi naona ni kufikiri, maana kila mtu ana akili lakini uwezo wa fikra ni tofauti. Na hata kama ukisoma halafu huwezi kufikiri lazima utakua roboti.
Wang Shu JF-Expert Member Feb 1, 2014 2,563 3,708 Jul 2, 2020 #2 Kufaulu katika jambo ni bidii yako tu.
salehek JF-Expert Member Mar 14, 2014 268 302 Jul 2, 2020 #3 Ukiwa na mipango iliyosimama na inatekelezeka kwa weledi na kujituma basi kufaulu huwa ndio tuzo
Joseph lebai JF-Expert Member Jul 19, 2017 8,452 8,606 Jul 2, 2020 #4 huenda ni akili ya ziada ya ulimwengu wa roho (fanya utafiti yakinifu)
Kasunguranyama JF-Expert Member Feb 12, 2020 498 365 Jul 2, 2020 #5 Mipango sahihi (michache) inayotekelezeka