mogulnoise
JF-Expert Member
- Oct 28, 2014
- 2,434
- 5,535
Nimefanya utafiti mdogo kwenye mitandao miwili ya Kijamii wa kwanza ni JF na wa pili ni Instagram.
Nilichokiona ni post nyingi karibu ya asilimia 85% ya post zote zinalaumu aidha direct au in derect Rais Magufuli.
Kweli hali hii imenishangaza huyu Rais ambaye alipoanza post nyingi zilikuwa za kamsifia na kuwa na matumaini makubwa juu yake leo hii wanamshambulia kama mbwa mwizi au mgoni kwenye nyumba ya mjane.
Napata shida kuelewa haya mashambulizi ni kutokana na utendaji wake au hali ya kiuchumi kwa wa TZ.
Hata ndugu yangu Salary slip naye amechoka ni hatari jamani.
Embu wadau wekeni maoni hapa kipi kilichowakuta wa Tanzania hadi wamefika hapa.
Cc Mshana Jr, swiseme etc
Nilichokiona ni post nyingi karibu ya asilimia 85% ya post zote zinalaumu aidha direct au in derect Rais Magufuli.
Kweli hali hii imenishangaza huyu Rais ambaye alipoanza post nyingi zilikuwa za kamsifia na kuwa na matumaini makubwa juu yake leo hii wanamshambulia kama mbwa mwizi au mgoni kwenye nyumba ya mjane.
Napata shida kuelewa haya mashambulizi ni kutokana na utendaji wake au hali ya kiuchumi kwa wa TZ.
Hata ndugu yangu Salary slip naye amechoka ni hatari jamani.
Embu wadau wekeni maoni hapa kipi kilichowakuta wa Tanzania hadi wamefika hapa.
Cc Mshana Jr, swiseme etc