johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,558
Huwezi kupata Katiba Mpya bila ya Kuwa na movement (Vuguvugu) sahihi na hiyo hufanywa na Vijana wenye fikra Huru
Alichofanikiwa Nyerere na ambacho Wapinzani wamerithi pia ni kuzikamata fikra za Vijana tangu wakiwa Shuleni na Vyuoni
Ndio sababu kama Taifa hatuwezi kusogea kwa sababu Vijana hawako Huru kifikra ndio hawa CHAWA wanaozaliana kila iitwapo leo
Kuna wakati J J Mnyika alipigania uwepo wa Baraza la Vijana pale Bungeni lakini cha ajabu Jafo akajipenyeza na kujifanya 'kijana' akaipora ile hoja na ikafia mikononi mwake
Ukitaka kujua sumu ya vyama muangalie Polepole wa Tume ya Warioba kisha muangalie Polepole wa Sekretarieti ya CCM
Jumaa kareem!
Alichofanikiwa Nyerere na ambacho Wapinzani wamerithi pia ni kuzikamata fikra za Vijana tangu wakiwa Shuleni na Vyuoni
Ndio sababu kama Taifa hatuwezi kusogea kwa sababu Vijana hawako Huru kifikra ndio hawa CHAWA wanaozaliana kila iitwapo leo
Kuna wakati J J Mnyika alipigania uwepo wa Baraza la Vijana pale Bungeni lakini cha ajabu Jafo akajipenyeza na kujifanya 'kijana' akaipora ile hoja na ikafia mikononi mwake
Ukitaka kujua sumu ya vyama muangalie Polepole wa Tume ya Warioba kisha muangalie Polepole wa Sekretarieti ya CCM
Jumaa kareem!