mkuuwakaya
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 923
- 1,272
Tumeaminishwa na kuimbiwa nyimbo na mapambio miaka yote kuwa gesi ya Mtwara ndiyo suluhisho. Nakumbuka kuna watu walipoteza maisha na jeshi letu liliweka kambi kule.
Kwa anayejua ni kitu gani kimetokea hadi tunaenda kugombania maji na wanyama wa Selous game reserve na wakati kwa miaka kadhaa tumeimba wimbo mzuri wa gesi ya Mtwara?. Waandishi wa habari mtusaidie kujua hili.
Fedha nyingi sana za wavuja jasho zimetumika kwenye mradi wa gesi. Bomba zimetandazwa tokea Mtwara hadi Dar halafu leo hii anatokea mtu mmoja tu as if hajui kama kuna mradi wa gesi.Ningependa kumsikia Magu akijenga hoja na kushawishi kwanini Stieler's Gorge na sio gas ya Mtwara ambayo JK alishaanza.
Mimi bado sielewi, kwamba gesi haitatoa umeme wa kutosha au kuna kingine ambacho hatukijui? Anayejua atiririke hapa. Afadhali fedha za huo mradi wa Stiegler`s Gorge ziende Mchuchuma na Liganga ambako umeme utakuwa wa uhakika mara dufu.
Kwa anayejua ni kitu gani kimetokea hadi tunaenda kugombania maji na wanyama wa Selous game reserve na wakati kwa miaka kadhaa tumeimba wimbo mzuri wa gesi ya Mtwara?. Waandishi wa habari mtusaidie kujua hili.
Fedha nyingi sana za wavuja jasho zimetumika kwenye mradi wa gesi. Bomba zimetandazwa tokea Mtwara hadi Dar halafu leo hii anatokea mtu mmoja tu as if hajui kama kuna mradi wa gesi.Ningependa kumsikia Magu akijenga hoja na kushawishi kwanini Stieler's Gorge na sio gas ya Mtwara ambayo JK alishaanza.
Mimi bado sielewi, kwamba gesi haitatoa umeme wa kutosha au kuna kingine ambacho hatukijui? Anayejua atiririke hapa. Afadhali fedha za huo mradi wa Stiegler`s Gorge ziende Mchuchuma na Liganga ambako umeme utakuwa wa uhakika mara dufu.