TGInnocent
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 1,088
- 576
Habari za Jumamosi great thinkers
Tukio la mahakama kuu ya Kenya kutengua matokeo ya uchaguzi wa raisi wa Kenya linazungumzwa kama tukio la kihistoria katika demokrasia za siasa za Afrika.
Mimi binafsi sijasikia hotuba au tamko rasmi toka viongozi/watawala wetu na hususani toka katika bara letu. Kama miongoni mwetu amesikia lolote kutoka kwao tunaomba utufahamishe ili tushiriki kupata mtazamo wa hawa wakuu wetu. Kama kweli hawajatoa tamko lolote, toa maoni yako unafikiri kwa nini wameduwazwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukio la mahakama kuu ya Kenya kutengua matokeo ya uchaguzi wa raisi wa Kenya linazungumzwa kama tukio la kihistoria katika demokrasia za siasa za Afrika.
Mimi binafsi sijasikia hotuba au tamko rasmi toka viongozi/watawala wetu na hususani toka katika bara letu. Kama miongoni mwetu amesikia lolote kutoka kwao tunaomba utufahamishe ili tushiriki kupata mtazamo wa hawa wakuu wetu. Kama kweli hawajatoa tamko lolote, toa maoni yako unafikiri kwa nini wameduwazwa.
Sent using Jamii Forums mobile app