Hakuna sababu ya kutukanana juu ya Mtungirehi. Kama ameenda mahakamani, mwenye haki ataonekana.
Kyerwa haiwezi kabidhiwa kwa Mtutsi
Kajunju sawa mimi Mungese na ww ni musengerema, ondoa povu lako hapa, alieshinda kashinda kilichobaki ni kuijenga Kyerwa basi
Kajunju sawa mimi Mungese na ww ni musengerema, ondoa povu lako hapa, alieshinda kashinda kilichobaki ni kuijenga Kyerwa basi
Nimekutana nae, nimeongea nae nikaona karatasi zote za matokeo kwa kila kituo
Kunatetesi kwa ameshinda uchaguzi huu kuptia chadema lakini kura zake wakamtangazi aliyekuwa mgombea wa ccm?na je hizo taarifa ni za kweli??najua humu kuna wenyeji hko.na kama ni kweli kwanini hajadai haki yake?kwa nilivyokuwa namsikia si mtu wa kukaa kimya kama endapo haki yake imeponyonywa.nasikia pia chadema ameshinda udiwan kata 13 na ccm 11 kati 23 Za wilaya hiyo mpya.iliyopo kagera
13+11=24
Wewe umejuaje kama kakaa kimya?
Hebu jibu baadhi ya maswali yako kwanza
mpuuzi wewe unatuletea habari za kufikirika. .....mbafu zako.Kuna taarifa kuwa ndiye aliyeshinda ubunge kupitia chadema lakini kura zake alitangaziwa mgombea wa ccm..kwa navyosiskia walishinda pia udiwani kata13 na ccm11 .na je kama ni kweli kwanini amekaa kimya kiasi hiki??mwana jukwaa mwenye kujua zaid atujuzeee kuondoa dukuduku
baada ya huzi huu nimefuatilia kilichijili kyerwa. mutungirehi alushinda mapema. ilivyofika muda wa kutangaza matokeo ded alikataa huku wakifanya mawasiliano toka kayanga na bk ili wapate maaskari wa kutosha. gari 7 zilitumika kutawanya watu huku wakilenga kumnyang'anya mutungirehi karatas za majumuhisho. mutungurehi alikimbia na makaratasi wake had kujificha kwa masista wa isingiro. mytungirehi docs zote anazo na mziki utakuwa mahakamani. kwa upuuz unaoendelea mutungirehi ametafutwa kwa hud na uvumba na kwa gharama yoyote ili anyanga'nywe yale makaratasi. tushukuru mungu kwa sasa yuko dar na chama kitamwejea wakili. ccm hao hao kama huyu buhare ndio washenzi wanaorudisha maendeleo ya karagwe na kyerwa. ukiwa mpinzani wewe utazushiwa mkimbizi au mwizi. huyu butahe kama origin yake ni karagwe basi ukifuatilia chimbuko lake ni rwanda, urundi au uganda. namalizia kwa kusema kuwa butahe ni MUNGESE
una kiswahili kibovu sana wewe utakua miongoni mwa wahamiaji haramu
Ukiona mtu anamtuhumu mwingine juu ya uraia wake ujue yeye ana asili hiyo kwa 90%.Km hujui utamaduni wa jamii fulani vizuri ktk uasili si rahisi kujua.[/QUOTE
Mbunge ni kiongozi wa ngazi ya juu ya Kitaifa. Mwaka 2000-2005, wana-Kyerwa na "Kitengo" walipitiwa, ndipo huyu Bwana akapata Ubunge, kosa ambalo haliwezi kurudiwa. Ninarudia, kosa hilo haliwezi KURUDIWA!
Huyu Bwana hana uzalendo. Ninarudia, Mtungirehi siyo MZALENDO na hawezi kuwa Mbunge wa KYERWA TENA!. Huwezi kutafuta Ubunge kwa ku-collude na watu wa asili yako na nje, hali wewe asili yako inajulikana wazi. Siasa anazoziendesha Mtungirehi ni tofauti sana na mategemeo ya walio wengi!
Wanajamvi, dhana hii haina itikadi ya chama chochote, bali UTAIFA! Hata UKAWA (maombi ya wengi) wangechukua nchi leo, bado MTUNGIREHI hawezi kuwa kiongozi tena Tanzania. Hata Kamanda MBOWE analijua vizuri hilo!
Ukiona mtu anamtuhumu mwingine juu ya uraia wake ujue yeye ana asili hiyo kwa 90%.Km hujui utamaduni wa jamii fulani vizuri ktk uasili si rahisi kujua.[/QUOTE
Mbunge ni kiongozi wa ngazi ya juu ya Kitaifa. Mwaka 2000-2005, wana-Kyerwa na "Kitengo" walipitiwa, ndipo huyu Bwana akapata Ubunge, kosa ambalo haliwezi kurudiwa. Ninarudia, kosa hilo haliwezi KURUDIWA!
Huyu Bwana hana uzalendo. Ninarudia, Mtungirehi siyo MZALENDO na hawezi kuwa Mbunge wa KYERWA TENA!. Huwezi kutafuta Ubunge kwa ku-collude na watu wa asili yako na nje, hali wewe asili yako inajulikana wazi. Siasa anazoziendesha Mtungirehi ni tofauti sana na mategemeo ya walio wengi!
Wanajamvi, dhana hii haina itikadi ya chama chochote, bali UTAIFA! Hata UKAWA (maombi ya wengi) wangechukua nchi leo, bado MTUNGIREHI hawezi kuwa kiongozi tena Tanzania. Hata Kamanda MBOWE analijua vizuri hilo!
MBNA umeaandika upuuzz mtupu.nenda kwenye hoja ya msingi!!mtungi ni chaguo la wanakyerwa.usilete upuuz was vijiwen hum ndan