Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,420
- 6,585
daaaaaaahMkuu Mimi mwenyewe kuna Mtu wao kabisa anayeratibu shughuli zao zote alinihakikishia kabisa kuwa ' Jamaa ' ni totally ' mwendo '. Siku hizi nikiona tu Mziki wake unapigwa katika Luninga na nikumbukuka kuwa ni ' mwendo ' huwa natamani hata kulia.
Na Jamaa hakuishia tu hapo alinitajia na Wasanii wa Kiume Watatu ambao ni ' mwendo ' kabisa tena hadi na ' Basha ' wao anaowaharibu ambaye ni Pedeshee mmoja hivi ambaye jina lake la kusifiwa la mwisho ni la Mkoa aliotokea Hayati 1999. Wasanii wenyewe ambao huyo Jamaa ' mratibu ' wao alinitajia na kunihakikishia kuwa japo na Wao wana Wapenzi na Wake zao ila wote ni ' mwendo ' ni 1. Kashata, Kasheta, Kashitu, Kashoto na Kashutu ( tuliza akili yako kwa umakini hapo utamjua ), 2. Tafuta a.k.a ya Team ya Chelsea ya Uingereza utamjua, 3. Babu yake alifariki mwaka jana maeneo ya Mbezi Beach ' ushuani ' na mpaka sasa ana Mtaa wake ' maarufu ' sana huko na kibao chake kipya sasa hivi kina hit kweli airwaves za Tanzania huku akimshirikisha Mpenziwe Shilole aitwaye ' Hamu na nazi '. Vijana hao ' wamejiaibisha ' mno Mkuu.