Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,241
- 1,472
Tulizoea zamani Chadema ndio chama kinachofichua maovu na kupambana nayo na CCM ndio kulikuwa chama cha kutetea maovu na kufanya madudu yote yasiyofaa.
Ila leo sielewi kimetokea nini Chadema imekuwa ndio chama cha kutetea maovu na kupinga lolote zuri litalofanywa ili kuleta nidhamu kwenye nchi. Alafu ccm ndio kimekuwa chama cha kushughulikia maovu na kuyakemea kwa nguvu zote.
Sikuwai ata siku moja kuwaza itafika siku Chadema watapambana kuwatetea waovu na watu waliofanikisha ufisadi, rushwa, wizi, uvunjaji taratibu nk.
Mimi wakati tunapigania mabadiliko niliamini tunataka mabadiliko kweli. Sasa vitu vinabadilishwa tutapinga ni kama hatutaki vitu vibadilike na sielewi tunaitaji nini!
Jamani ebu mnisaidie kuelewa tatizo nini wana Chadema wenzangu?
Ila leo sielewi kimetokea nini Chadema imekuwa ndio chama cha kutetea maovu na kupinga lolote zuri litalofanywa ili kuleta nidhamu kwenye nchi. Alafu ccm ndio kimekuwa chama cha kushughulikia maovu na kuyakemea kwa nguvu zote.
Sikuwai ata siku moja kuwaza itafika siku Chadema watapambana kuwatetea waovu na watu waliofanikisha ufisadi, rushwa, wizi, uvunjaji taratibu nk.
Mimi wakati tunapigania mabadiliko niliamini tunataka mabadiliko kweli. Sasa vitu vinabadilishwa tutapinga ni kama hatutaki vitu vibadilike na sielewi tunaitaji nini!
Jamani ebu mnisaidie kuelewa tatizo nini wana Chadema wenzangu?