Nini kimeikumba chama changu CHADEMA?

Nini kimeikumba chama changu CHADEMA?

Judi wa Kishua

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2012
Posts
1,241
Reaction score
1,472
Tulizoea zamani Chadema ndio chama kinachofichua maovu na kupambana nayo na CCM ndio kulikuwa chama cha kutetea maovu na kufanya madudu yote yasiyofaa.

Ila leo sielewi kimetokea nini Chadema imekuwa ndio chama cha kutetea maovu na kupinga lolote zuri litalofanywa ili kuleta nidhamu kwenye nchi. Alafu ccm ndio kimekuwa chama cha kushughulikia maovu na kuyakemea kwa nguvu zote.

Sikuwai ata siku moja kuwaza itafika siku Chadema watapambana kuwatetea waovu na watu waliofanikisha ufisadi, rushwa, wizi, uvunjaji taratibu nk.

Mimi wakati tunapigania mabadiliko niliamini tunataka mabadiliko kweli. Sasa vitu vinabadilishwa tutapinga ni kama hatutaki vitu vibadilike na sielewi tunaitaji nini!

Jamani ebu mnisaidie kuelewa tatizo nini wana Chadema wenzangu?
 
Mimi sijaona viti vikibadilishwa zaidi ya 'ziara za kushtukiza' zinazofanywa na Magufuli na mawaziri wake huko Dar utadhani serikali hii ni ya Dar peke yake.Huku mikoani hakuna kilichobadilika ufisadi uko palepale na maisha yanazidi kuwa magumu kuliko hata kabla ya uchaguzi.
 
Tulizoea zamani Chadema ndio chama kinachofichua maovu na kupambana nayo na CCM ndio kulikuwa chama cha kutetea maovu na kufanya madudu yote yasiyofaa.

Ila leo sielewi kimetokea nini Chadema imekuwa ndio chama cha kutetea maovu na kupinga lolote zuri litalofanywa ili kuleta nidhamu kwenye nchi. Alafu ccm ndio kimekuwa chama cha kushughulikia maovu na kuyakemea kwa nguvu zote.

Sikuwai ata siku moja kuwaza itafika siku Chadema watapambana kuwatetea waovu na watu waliofanikisha ufisadi, rushwa, wizi, uvunjaji taratibu nk.

Mimi wakati tunapigania mabadiliko niliamini tunataka mabadiliko kweli. Sasa vitu vinabadilishwa tutapinga ni kama hatutaki vitu vibadilike na sielewi tunaitaji nini!

Jamani ebu mnisaidie kuelewa tatizo nini wana Chadema wenzangu?

Muhongo ni waziri
 
Serikali ya awamu ya maagizo, sorry! awamu ya tano
 
Tulizoea zamani Chadema ndio chama kinachofichua maovu na kupambana nayo na CCM ndio kulikuwa chama cha kutetea maovu na kufanya madudu yote yasiyofaa.

Ila leo sielewi kimetokea nini Chadema imekuwa ndio chama cha kutetea maovu na kupinga lolote zuri litalofanywa ili kuleta nidhamu kwenye nchi. Alafu ccm ndio kimekuwa chama cha kushughulikia maovu na kuyakemea kwa nguvu zote.

Sikuwai ata siku moja kuwaza itafika siku Chadema watapambana kuwatetea waovu na watu waliofanikisha ufisadi, rushwa, wizi, uvunjaji taratibu nk.

Mimi wakati tunapigania mabadiliko niliamini tunataka mabadiliko kweli. Sasa vitu vinabadilishwa tutapinga ni kama hatutaki vitu vibadilike na sielewi tunaitaji nini!

Jamani ebu mnisaidie kuelewa tatizo nini wana Chadema wenzangu?

1. Katiba ya wananchi CCM imefanya nini?
2. Wizi wa ESCROW nini kimefanyika?
3. Vurugu zote za uchaguzi wa mameya maeneo ambayo CCM wameshindwa, nani anakemea uhuni unaofanyika? rejea Kinondoni, Ilala, Morogoro na kwingineko
4. Uchaguzi wa Zanzibar umefikia wapi? wananchi ambao ndo wenye nchi wamepewa mrejesho wowote?

Acha kuishi kitumwa na kujitoa ufahamu. Elimu huletwa na tafakuri na kudadisi, la sivyo huwezi jua nini kiko vipi na kwa nini?
 
Tulizoea zamani Chadema ndio chama kinachofichua maovu na kupambana nayo na CCM ndio kulikuwa chama cha kutetea maovu na kufanya madudu yote yasiyofaa.

Ila leo sielewi kimetokea nini Chadema imekuwa ndio chama cha kutetea maovu na kupinga lolote zuri litalofanywa ili kuleta nidhamu kwenye nchi. Alafu ccm ndio kimekuwa chama cha kushughulikia maovu na kuyakemea kwa nguvu zote.

Sikuwai ata siku moja kuwaza itafika siku Chadema watapambana kuwatetea waovu na watu waliofanikisha ufisadi, rushwa, wizi, uvunjaji taratibu nk.

Mimi wakati tunapigania mabadiliko niliamini tunataka mabadiliko kweli. Sasa vitu vinabadilishwa tutapinga ni kama hatutaki vitu vibadilike na sielewi tunaitaji nini!

Jamani ebu mnisaidie kuelewa tatizo nini wana Chadema wenzangu?

Umekosa cha kuandika siyo???Hiv ww unaona nn kimebadirika ktk hii serikar ya makufuli.....hizo ziara anazoziita za kushitukiza wakati waandishi wa habari wanakuwa na taarifa nazo....?hakuna pilote like bado maisha ni magumu kupit? maelezo......afu we siyo mwana Chadema tuachie chama chetu site usituingilie!!!!!
 
Tulizoea zamani Chadema ndio chama kinachofichua maovu na kupambana nayo na CCM ndio kulikuwa chama cha kutetea maovu na kufanya madudu yote yasiyofaa.

Ila leo sielewi kimetokea nini Chadema imekuwa ndio chama cha kutetea maovu na kupinga lolote zuri litalofanywa ili kuleta nidhamu kwenye nchi. Alafu ccm ndio kimekuwa chama cha kushughulikia maovu na kuyakemea kwa nguvu zote.

Sikuwai ata siku moja kuwaza itafika siku Chadema watapambana kuwatetea waovu na watu waliofanikisha ufisadi, rushwa, wizi, uvunjaji taratibu nk.

Mimi wakati tunapigania mabadiliko niliamini tunataka mabadiliko kweli. Sasa vitu vinabadilishwa tutapinga ni kama hatutaki vitu vibadilike na sielewi tunaitaji nini!

Jamani ebu mnisaidie kuelewa tatizo nini wana Chadema wenzangu?
kwani wewe hukuambiwa kwamba chama kimebadili gear angani?
 
Sina uhakika kama aliyeandika haya alistahili kuwepo kwenye hili kundi great thinkers
 
Msrtari wako wa mwisho tu ndo nimeupenda. Ila yooote inabidi ujiridhishe kwanza kiushahidi na kiuchunguzi kabla ya kuachia uzi wa kidarasa la sita au saba hivi kuachia. nkirudi ntakusaidia maana hujui tatizo ni nini na baada ya hapo utaona ulichoandika kweli hukustahili ila baas tu huo ndo upeo wako kama si kishabiki zaidi. Ukweli utatuweka huru daima.
 
Mleta uzi kaandika pumba, sasa cha uzuri ni kwamba mwisho wa hiyo pumba kaomba ushauri. Sasa waungwana badala ya kumshauri aachane na hizo pumba, kuna wengine wamemjibu puuuuumba kabisa, sasa sjui ndo nini?????????????????????????????????????
 
Unajua kuna vichwa vya habari ukivisoma unaweza kupata kichaa ama wendawazimu kabisa, vingine vinakushawishi sana kuingia ndani. Ila sasa ingia uone mama yangu weeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mimi sijaona viti vikibadilishwa zaidi ya 'ziara za kushtukiza' zinazofanywa na Magufuli na mawaziri wake huko Dar utadhani serikali hii ni ya Dar peke yake.Huku mikoani hakuna kilichobadilika ufisadi uko palepale na maisha yanazidi kuwa magumu kuliko hata kabla ya uchaguzi.

Mjibu alicho kiuliza mbona unachenga chenga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom