Nini kilimpata balozi Humpley Polepole?

Alichagua kukosoa zimwi aliloshiriki kuliunda, likamtafuna,
Kakosoa utwaala,ukamteka period
 
Alisema anamtumaInia Mungu wa Mbinguni!
Hakutumia maarifa.
Huwezi kupambana na Shetani ukiwa kwenye ngome yake.
 
Inasikitisha sana na bora waendelee kuweka ugumu wa raia kumiliki "MIKWAJU" maana kwa viongozi washenzi wasiosikiliza wananchi dawa yao ni Pyu pyu pyu.

Kwa TZ hakuna ulinzi wa aina yeyote ,ni easy sana kuua hata rais ,usitishike na mitutu ya wale wanaokuwa wanamzunguka prezzo sema ndiyo hivyo waTZ hatujafikia huku ila wipo siku watatufikisha.
 
Alisema anamtumaInia Mungu wa Mbinguni!
Hakutumia maarifa.
Huwezi kupambana na Shetani ukiwa kwenye ngome yake.
Alifanya kosa kubwa sana ,hawa washenzi hauwezi kupambana nao live ukiwa BONGO ,kwa hapa TZ kina BUYOBE wapo wengi sana.
 
Yuko waaaaaaapi Polepole? Yani tumekuwa kama mbuzi kwenye banda, anachukuliwa mmoja mmoja kuchinjwa na hakuna kitu tunaweza kufanya.

Hivi ndio tumeona iwe hivi, hatuna namna nyingine?, hali hii ya KISHETANI, isiyofuata wala kutambua utaratibu halali wa sheria, itaendelea hata lini????!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…