Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,053
Nakumbuka huyu alikuwa mwandishi wa redio ya kimataifa ya Ujerumani DW idhaa ya Kiswahili na alikufaga kifo cha kutatanisha Sana. Mtu katoka kwake na gari hadi bandari ya Bukoba na akafika na kupaki gari yake akatoka kwenye gari na ikaelezwa baadae alijirusha majini na kufariki dunia.
Lakini wengine wanadai ni kutokana na ishu za matokeo ya uchaguzi kwa kuutangazia Ulimwengu kuwa mgombea wa CUF bwana Rwakatale kuwa ndio mshindi wa uchaguzi huo huku mamlaka za kutangaza matokeo zikiwa bado hazijatoa matokeo rasmi.
Wahenga wenzangu nafahamu bado mnakumbuka hili sakata naomba tujuzane nini kilimkuta huyu mwandishi.
R.I.P Kabendela.
Lakini wengine wanadai ni kutokana na ishu za matokeo ya uchaguzi kwa kuutangazia Ulimwengu kuwa mgombea wa CUF bwana Rwakatale kuwa ndio mshindi wa uchaguzi huo huku mamlaka za kutangaza matokeo zikiwa bado hazijatoa matokeo rasmi.
Wahenga wenzangu nafahamu bado mnakumbuka hili sakata naomba tujuzane nini kilimkuta huyu mwandishi.
R.I.P Kabendela.