Nini kilichompata mrisho Mpoto?

Kila binadamu anaweza kubadilika muda wowote ule.
 
Hata ungekuwa wewe, ungewasemea watanzania hawa wa Simba na Yanga na story za umbea na muziki?. He did the right thing. Hakuna kitu kizuri unaweza kujifanyia nchi hii kama kuungana na walaji katika kula. Wanaoliwa hawako tayari kuacha kuliwa, muda ukifika, haitatumika nguvu kubwa kuwaamsha. Kwanini uende jela, upate ulemavu, upishane na pesa safi kwa kuwasemea waliwao ambao wako comfortable kuliwa? Join the eaters and enjoy the part, as you should.​
 
CCM kimegeuka na kuwa Chama cha Machawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…