mwamba_ngori
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 251
- 294
Jamani ni jambo ambalo kuamini ni shida sana ukielezwa na mke wako akifanya Hivi...
Kulikuwa na Jamaa amepanga na mke wake sasa siku moja alichukua ndoo waliyokuwa wakitumia na mke wake akaenda nayo katika mishe zake. Mke wake alipotaka Kuoga akaomba Ndoo nyingine kwa mpangaji mwingine alikuwa na yeye ni mwana ume.
Sasa baada ya Kuoga akamrudishia yule jamaa ndoo yake. Bila kujua kumbe alisahau Nguo ya ndani{ chupi} kwenye ile ndoo na Jamaa aliiona ila hakutaka kurudisha sababu alijua atakumbuka na kuifata Basi baada ya mda kidogo yule Mwanamke akafata Ile nguo yule jamaa akamwambia Ingia ndani ukachuke ndoo ipo Sebleni yule mwanamke alikuwa na Kanga moja tu.
Baada ya Kuchukua ile anatoka mlangoni tuu Mme wake anamuona anatoka kwenye nyumba ya mpangaji mwenzake na Kashikilia ile Nguo ya ndani Na Ana kanga moja Tu!! .
Mwanaume amekataaa katakata kuamin ya mke wake jeh
Nini kifanyike kunusuru ndoa hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulikuwa na Jamaa amepanga na mke wake sasa siku moja alichukua ndoo waliyokuwa wakitumia na mke wake akaenda nayo katika mishe zake. Mke wake alipotaka Kuoga akaomba Ndoo nyingine kwa mpangaji mwingine alikuwa na yeye ni mwana ume.
Sasa baada ya Kuoga akamrudishia yule jamaa ndoo yake. Bila kujua kumbe alisahau Nguo ya ndani{ chupi} kwenye ile ndoo na Jamaa aliiona ila hakutaka kurudisha sababu alijua atakumbuka na kuifata Basi baada ya mda kidogo yule Mwanamke akafata Ile nguo yule jamaa akamwambia Ingia ndani ukachuke ndoo ipo Sebleni yule mwanamke alikuwa na Kanga moja tu.
Baada ya Kuchukua ile anatoka mlangoni tuu Mme wake anamuona anatoka kwenye nyumba ya mpangaji mwenzake na Kashikilia ile Nguo ya ndani Na Ana kanga moja Tu!! .
Mwanaume amekataaa katakata kuamin ya mke wake jeh
Nini kifanyike kunusuru ndoa hii?
Sent using Jamii Forums mobile app