kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,111
- 14,481
Amani iwe kwenu wakuu,
Nimekuwa nikipita pita mitandaoni kuangalia nchi nyingine hasa za Afrika zilizoendelea kiuchumi, miundombinu hata kiteknolojia.
Nikafikilia je Tanzania hatuwezi kufikia huko?
Hapo juzi nilikuwa naangalia kituo kimoja cha habari.Vijana watatu wamegungundua mita fulani ya umeme (hili linahusu technology) sijajua wamefikia wapi sababu wazo lao ni zuri sana
Wengine wamebuni parking ya kisasa je wao pia wamefikia wapi!
Viongozi wamewasaidiaje kufikia lengo!
Ukitazama Kama China unakuta mtoto mdogo amegundua au kubuni kitu.Je, kwetu Tanzania tufanyaje?
Je, hatuwezi kuingiza mfumo wowote shuleni huko ukatusaidia kutengenezeka akili za watoto wetu?
Nini kifanyike kuinua Tanzania yetu kimaendeleo?
k,k
kelphin kepph
Nimekuwa nikipita pita mitandaoni kuangalia nchi nyingine hasa za Afrika zilizoendelea kiuchumi, miundombinu hata kiteknolojia.
Nikafikilia je Tanzania hatuwezi kufikia huko?
Hapo juzi nilikuwa naangalia kituo kimoja cha habari.Vijana watatu wamegungundua mita fulani ya umeme (hili linahusu technology) sijajua wamefikia wapi sababu wazo lao ni zuri sana
Wengine wamebuni parking ya kisasa je wao pia wamefikia wapi!
Viongozi wamewasaidiaje kufikia lengo!
Ukitazama Kama China unakuta mtoto mdogo amegundua au kubuni kitu.Je, kwetu Tanzania tufanyaje?
Je, hatuwezi kuingiza mfumo wowote shuleni huko ukatusaidia kutengenezeka akili za watoto wetu?
Nini kifanyike kuinua Tanzania yetu kimaendeleo?
k,k
kelphin kepph