Nimekuwa nikifilia kwanini tupo hapa tulipo kimaendeleo kama Taifa, je tunastahili kuwa hapa tulipofikia au tulitakiwa kuwa hatua zaidi ya hapa tulipofikia?.
Ukiangalia kwa undani vitu karibu vyote vinavyochangia kufanikisha maendeleo tunavyo kama Taifa, mfano; Raslima watu, Maliasili, n.k.
Sisi kama Taifa tunakwama wapi na nini kifanyike ili tupige hatua zaidi ya hapa tulipofikia?.
Mimi nashauri haya yazingatiwe pia ili tupige hatua zaidi;
1. Tuwe na mifumo isiyoweza kuingiliwa na mtu, kikundi, chama chochote cha siasa, n.k. kwa maslahi yao.
2.Tuwe na mhimili yenye uhuru kamili, ili checks and balances tuione haswaa!.
3.Tuwe na malengo ya Kitaifa na si malengo ya yatokanayo na makundi, yaani timu za wataalam wabobezi bila kuangalia mitazamo, itikadi za kisiasa, n.k. wawe wanakaa kwa pamoja kisekta kutuandalia malengo hayo ya Kitaifa.
4. Asiwepo mtu asiyeweza kuwajibishwa nahasa apokiuka maslahi ya Taifa.
Naomba na wewe uongezee, nini unaona kinaweza kufanyika ili hatua zaidi ipigwe kamaTaifa kimaendeleo?.
Ukiangalia kwa undani vitu karibu vyote vinavyochangia kufanikisha maendeleo tunavyo kama Taifa, mfano; Raslima watu, Maliasili, n.k.
Sisi kama Taifa tunakwama wapi na nini kifanyike ili tupige hatua zaidi ya hapa tulipofikia?.
Mimi nashauri haya yazingatiwe pia ili tupige hatua zaidi;
1. Tuwe na mifumo isiyoweza kuingiliwa na mtu, kikundi, chama chochote cha siasa, n.k. kwa maslahi yao.
2.Tuwe na mhimili yenye uhuru kamili, ili checks and balances tuione haswaa!.
3.Tuwe na malengo ya Kitaifa na si malengo ya yatokanayo na makundi, yaani timu za wataalam wabobezi bila kuangalia mitazamo, itikadi za kisiasa, n.k. wawe wanakaa kwa pamoja kisekta kutuandalia malengo hayo ya Kitaifa.
4. Asiwepo mtu asiyeweza kuwajibishwa nahasa apokiuka maslahi ya Taifa.
Naomba na wewe uongezee, nini unaona kinaweza kufanyika ili hatua zaidi ipigwe kamaTaifa kimaendeleo?.