mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Katika product mbovu kutoka nchi ya Kenya ipo sokoni kwenye mzunguko kwa kiasi kikunwa basi ni Viberiti vyao vile vinaitwa Kasuku, aisee ni Product yenye quality mbovu sana!
Unaweza tumia njiti zake mda unawasha ile baruti ikapuputika, mara vinawaka kwa kuungua havitoi moto, mara kisiwake kabisa, kwakweli quality ilikua mbovu.
Nikawaza ubora wa viberiti vya Kibo kutoka moshi, vile viberiti vilikua vya quality ya juu mno, vilikua viberiti imara lakini kiwanda kile kilikufa.
Sidhani kama Invenstment ya kile kiwanda kinachukua. Matrillion ya fedha, nikawaza ni kwanini serikali inashindwa kabisa kukifufua kile kiwanda.
Unaweza tumia njiti zake mda unawasha ile baruti ikapuputika, mara vinawaka kwa kuungua havitoi moto, mara kisiwake kabisa, kwakweli quality ilikua mbovu.
Nikawaza ubora wa viberiti vya Kibo kutoka moshi, vile viberiti vilikua vya quality ya juu mno, vilikua viberiti imara lakini kiwanda kile kilikufa.
Sidhani kama Invenstment ya kile kiwanda kinachukua. Matrillion ya fedha, nikawaza ni kwanini serikali inashindwa kabisa kukifufua kile kiwanda.