Hiyo miradi bora imaliziwe itumiwe na wakazi wa maeneo hayo na jirani, jengo kama lile la hospitali ya Rufaa kuliacha bila kumaliziwa itakuwa ni dhambi kubwa sana, ila kwa miradi mingine ambayo ilikuwa bado haijaanza kama ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu hiyo inaweza kusitishwa ujenzi wake kwasababu sio ya muhimu sana.