HT
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,897
- 414
Tutafakari mambo makubwa yaliyotukia dhidi ya serikali/CCM members baada ya huyu mtu kuachia ngazi.
Hivi ni hakuna uwezekano ameshatega mabomu na sasa analipua moja baada ya jingine kwa remote? Msaada Igunga atatoa?
Majibu haya yatatoa picha nzuri ya mwelekeo wa mada hii!
Hivi ni hakuna uwezekano ameshatega mabomu na sasa analipua moja baada ya jingine kwa remote? Msaada Igunga atatoa?
Majibu haya yatatoa picha nzuri ya mwelekeo wa mada hii!