Kumekuwa na migogoro mingi sana katika vyama vyetu vya siasa nchini hasa chama tawala hii ina mana gani, au hatima yake ni nini, wana JF naomba mwelekeo wa hii migogoro na hatima yake.
hatima ni watu kadhaa kuumwa, kufa, na wengine kufilisiwa na kukimbia nchi kama kundi moja au lingine likishinda au kushindwa.cost itakua kubwa mwisho wa CCM utakua ndiyo huo. Hivi una akili gani unajua self destruction its practically a destruction of self..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.