Nini hasa tatizo linalowakumba wasomi wetu bongo?

Nini hasa tatizo linalowakumba wasomi wetu bongo?

mandokwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2013
Posts
620
Reaction score
865
Wakuu wanajf,
nalazimika kuwauliza leo kuhusu wasomi wetu hapa bongo. Hasa swali langu linahusisha uwezo wao wa kufikiri na kuamua.
Nimekuwa nikifuatilia mara kadhaa pale linapotokea suala la kitaifa or kimataifa ambalo lingehitaji wasomi wetu watoe tafsiri ya mambo huwa siwaoni. Pia yanapotokea maswala ambayo yanahitaji wasomi wawafumbue macho wajinga unakuta nao wamehusika . Natoa mifano mitatu tu kwakuwa sina muda wa kutosha:-
1. Ujio wa deci; walioliwa wengi ni pamoja na maprofessor wa uchumi
2. Babu wa loliondo; amekula pamoja na madaktari na maprof na wasomi wenye degree zao
3. Mafuta ya ubuyu nk.. Wasomi kadhaa wamekunywa bila hata kuhitaji scientific evidence ya ubora wake
4. Maisha ya mtaani wengi wasomi wanaishi na kufanya shughuli zile zile za wasiosoma. Mfano wote tunafungua bajaji na boda boda, cosmetics, staionaries.. Ningetegemea wasomi hasa wa uchumi na biashara watupe mfano sisi mburula.
5. Ukienda kwa bagamoyo ushirikina pamoja na wasomi wanaogombea vyeo wamo kibao.

Sasa huwa nashindwa kupata jibu as to what has happened with their education? Nimeshuhudia kwamba hii haijalishi kasoma bongo or kaja kutoka ughaibuni. Kwakuwa humu jf wamo pia nawauliza maana ya kujidhalilisha nini chanzo cha haya yote? Mmekariri au mlisomea vyeti, au mmelogwa au wavivu wa kujiendeleza na kubuni mambo ? Au ... Au ... Au .. Hamkuelimika?

Mandokwa
 
Tatizo uoga na ujinga hasa maccm, ebu nenda office yeyote ya serikali na shida ya kutatuliwa cha kwanza unaulizwa una sh. Ngapi. Nimefungua kampuni Langu mwezi wa kumi na moja mwaka jana , nikapata kazi ya m90 mwejune 2013.nipo site mitraccm inanipigia simu eti ije kukagua mahesabu wakati nina miezi minne sasa hesabu zipi na ni kazi ya kwanza. TAFAKARI JITU KAMA HILI LITAKOSAJE KUWA POYOYO. LINSAFIKILI WIZI TU NA KUNYANYASA WATZ
 
ucjijengee mazingira magumu kwa kutoa mada mahali ambapo hapahucki.. alaf unapotoa mada ucweke maneno ya kashfa.. utajibiwa hiyohiyo uone cku mbaya kwako...! ni hayo 2
 
tatizo uoga na ujinga hasa maccm, ebu nenda office yeyote ya serikali na shida ya kutatuliwa cha kwanza unaulizwa una sh. Ngapi. Nimefungua kampuni langu mwezi wa kumi na moja mwaka jana , nikapata kazi ya m90 mwejune 2013.nipo site mitraccm inanipigia simu eti ije kukagua mahesabu wakati nina miezi minne sasa hesabu zipi na ni kazi ya kwanza. Tafakari jitu kama hili litakosaje kuwa poyoyo. Linsafikili wizi tu na kunyanyasa watz

sidhani kama kuna uhusiano kati ya watumishi ofisi ya serikali na ccm. Sidhani kama walioliwa deci wote ni ccm, sidhani kama walioenda loliondo wote ni ccm, sidhani kama wanaotumia vibaya elimu zao wote ni ccm.
Naomba kuweka wazi kwamba mada hii haifungamani kisiasa tujadili kama watanzania ambao haya yaliyoletwa tumeyashuhudia. Tuache nadhalia za kisiasa kwa wanasiasa. Am not mwanasiasa please.
 
Tatito kila kitu mnahusisha na siasa, sio kila mfanyakazi wa serikali ni CCM kwa taarifa yako watu wana utashi wa vyama tofauti, na watanzania wengi hasa walio maofisini siku nyingi yaani wazee hawana tija ata uwafanye nini wanafanya kazi kwa mazoea dawa yao ni vijana ingawa vijana nao pamoja na elimu yetu kutowandaa vizuri kujitejemea tuwe wabunifu,watu wa kutafakari na kuonesha mfano ingawa ni kweli wakati mwingine maelekezo ya kisiasa ni tatizo kwa wafanyakazi wa serikalini wanaojituma maana wakikuona kikwazo wanakuhamishia Katavi.
Tatizo uoga na ujinga hasa maccm, ebu nenda office yeyote ya serikali na shida ya kutatuliwa cha kwanza unaulizwa una sh. Ngapi. Nimefungua kampuni Langu mwezi wa kumi na moja mwaka jana , nikapata kazi ya m90 mwejune 2013.nipo site mitraccm inanipigia simu eti ije kukagua mahesabu wakati nina miezi minne sasa hesabu zipi na ni kazi ya kwanza. TAFAKARI JITU KAMA HILI LITAKOSAJE KUWA POYOYO. LINSAFIKILI WIZI TU NA KUNYANYASA WATZ
 
Tanzania tunasomea vyeti tu na mfumo wa kazi ni wa kimbuluraz,so called wasomi ndio walioua mashirika ya umma,ndio wanaoanda makongamano,sdmina,warsha,semina elekezi na mambo yanayofanana na hayo ili wapige hela,wasomi ndio hao kina banseni bana ambao wananunuliwa elimu ni makaratasi tu mrema juzi 2009 halikuwa hana degree lakin mrema lyatonga ni Dr. Phd Holder lol
 
sidhani kama kuna uhusiano kati ya watumishi ofisi ya serikali na ccm. Sidhani kama walioliwa deci wote ni ccm, sidhani kama walioenda loliondo wote ni ccm, sidhani kama wanaotumia vibaya elimu zao wote ni ccm.
Naomba kuweka wazi kwamba mada hii haifungamani kisiasa tujadili kama watanzania ambao haya yaliyoletwa tumeyashuhudia. Tuache nadhalia za kisiasa kwa wanasiasa. Am not mwanasiasa please.

Serikali yetu kwa sasa inaongozwa na ccm na kila ofisi ipo kwa mujibu wa sisiemu, hapo kumbuka vizuri mkuu. Nawasilisha
 
Mfumo uliopo inakubidi uufuate hakuna jinsi, serikali imeshakujenga hivyo lazima ufuate hivyo.
Huoni kwa sasa kazi ya kufanya ni kuwa Punda wa sembe, iba meno tembo(kinana) safirisha Twiga, soma ili ukaibe tu, otherwise maisha utayaona magumu ingawa kihalisia haikupaswa kuwa hivyo.
 
wakuu wanajf,
nalazimika kuwauliza leo kuhusu wasomi wetu hapa bongo. Hasa swali langu linahusisha uwezo wao wa kufikiri na kuamua.
Nimekuwa nikifuatilia mara kadhaa pale linapotokea suala la kitaifa or kimataifa ambalo lingehitaji wasomi wetu watoe tafsiri ya mambo huwa siwaoni. Pia yanapotokea maswala ambayo yanahitaji wasomi wawafumbue macho wajinga unakuta nao wamehusika . Natoa mifano mitatu tu kwakuwa sina muda wa kutosha:-
1. Ujio wa deci; walioliwa wengi ni pamoja na maprofessor wa uchumi
2. Babu wa loliondo; amekula pamoja na madaktari na maprof na wasomi wenye degree zao
3. Mafuta ya ubuyu nk.. Wasomi kadhaa wamekunywa bila hata kuhitaji scientific evidence ya ubora wake
4. Maisha ya mtaani wengi wasomi wanaishi na kufanya shughuli zile zile za wasiosoma. Mfano wote tunafungua bajaji na boda boda, cosmetics, staionaries.. Ningetegemea wasomi hasa wa uchumi na biashara watupe mfano sisi mburula.
5. Ukienda kwa bagamoyo ushirikina pamoja na wasomi wanaogombea vyeo wamo kibao.

Sasa huwa nashindwa kupata jibu as to what has happened with their education? Nimeshuhudia kwamba hii haijalishi kasoma bongo or kaja kutoka ughaibuni. Kwakuwa humu jf wamo pia nawauliza maana ya kujidhalilisha nini chanzo cha haya yote? Mmekariri au mlisomea vyeti, au mmelogwa au wavivu wa kujiendeleza na kubuni mambo ? Au ... Au ... Au .. Hamkuelimika?

Mandokwa

ni kweli mkuu!umenigusa.kwa mfano mzee kifimbo alitujengea sokoine university of agriculture.inazalisha maprofesa wa kilimo,wataalam wa mifugo nk.ardhi tunayo lakini hakuna mtaalam mwenye shamba, hakuna msomi mwenye ranchi.utawaona wanafuatana na magamba kwenda majuu kutafuta wawekezaji kwenye ardhi,ranchi nk.kuna shida gani kufuga ngombe.kuna shida gani kulima mahindi kwa wingi???mpaka mzungu??watusi wanajenga bahima empire wasomi wetu hawashtuki,wanakenua tu!watusi wanajipenyezahadi kwenye sehemu nyeti kabisa za nchi yetu wasomi wetu hawashtuki!!!!!sijui kama wanafunguka kutoa maoni katiba mpya.wasomi amkeni jamani.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
ni kweli mkuu!umenigusa.kwa mfano mzee kifimbo alitujengea sokoine university of agriculture.inazalisha maprofesa wa kilimo,wataalam wa mifugo nk.ardhi tunayo lakini hakuna mtaalam mwenye shamba, hakuna msomi mwenye ranchi.utawaona wanafuatana na magamba kwenda majuu kutafuta wawekezaji kwenye ardhi,ranchi nk.kuna shida gani kufuga ngombe.kuna shida gani kulima mahindi kwa wingi???mpaka mzungu??watusi wanajenga bahima empire wasomi wetu hawashtuki,wanakenua tu!watusi wanajipenyezahadi kwenye sehemu nyeti kabisa za nchi yetu wasomi wetu hawashtuki!!!!!sijui kama wanafunguka kutoa maoni katiba mpya.wasomi amkeni jamani.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Asante Mkuu ubarikiwe maneno ya DHATI. Hakika hali hii inatisha na inahatarisha maendeleo ya TAIFA na vizazi vote.
 
Wakuu wanajf,
nalazimika kuwauliza leo kuhusu wasomi wetu hapa bongo. Hasa swali langu linahusisha uwezo wao wa kufikiri na kuamua.
Nimekuwa nikifuatilia mara kadhaa pale linapotokea suala la kitaifa or kimataifa ambalo lingehitaji wasomi wetu watoe tafsiri ya mambo huwa siwaoni. Pia yanapotokea maswala ambayo yanahitaji wasomi wawafumbue macho wajinga unakuta nao wamehusika . Natoa mifano mitatu tu kwakuwa sina muda wa kutosha:-
1. Ujio wa deci; walioliwa wengi ni pamoja na maprofessor wa uchumi
2. Babu wa loliondo; amekula pamoja na madaktari na maprof na wasomi wenye degree zao
3. Mafuta ya ubuyu nk.. Wasomi kadhaa wamekunywa bila hata kuhitaji scientific evidence ya ubora wake
4. Maisha ya mtaani wengi wasomi wanaishi na kufanya shughuli zile zile za wasiosoma. Mfano wote tunafungua bajaji na boda boda, cosmetics, staionaries.. Ningetegemea wasomi hasa wa uchumi na biashara watupe mfano sisi mburula.
5. Ukienda kwa bagamoyo ushirikina pamoja na wasomi wanaogombea vyeo wamo kibao.

Sasa huwa nashindwa kupata jibu as to what has happened with their education? Nimeshuhudia kwamba hii haijalishi kasoma bongo or kaja kutoka ughaibuni. Kwakuwa humu jf wamo pia nawauliza maana ya kujidhalilisha nini chanzo cha haya yote? Mmekariri au mlisomea vyeti, au mmelogwa au wavivu wa kujiendeleza na kubuni mambo ? Au ... Au ... Au .. Hamkuelimika?

Mandokwa

natumaini na wewe ni msosi kama hao unaozungumzia,umekariri,nani kakwambia biashara ya bajaj,bodaboda,maduka ya vipodozi,stationary ni ya wasiosoma???hakuna biashara ya asiesoma na aliesoma,jinsi unavyoendesha biashara yako ndio ita-judge either unaendesha kisomi au ki-mburula kama unavyosema.......mfano KFC na MANGI MUUZA CHIPS KUKU MTAANI KWETU,wote wanafanya biashara moja ya kuuza chips na kuku,lakini jinsi wanavyoendesha biashara zao ndio sababu ya KFC kuwa KFC na muuza chips wa mtaani kuwa alivyo.
 
nadhani wasomi wa ccm ndo majanga,angalia mikataba wanayoingia,hoja zao bungeni ie mwigulu,pr maghembe,kigoda,limbu etc
 
Wakuu wanajf,
nalazimika kuwauliza leo kuhusu wasomi wetu hapa bongo. Hasa swali langu linahusisha uwezo wao wa kufikiri na kuamua.
Nimekuwa nikifuatilia mara kadhaa pale linapotokea suala la kitaifa or kimataifa ambalo lingehitaji wasomi wetu watoe tafsiri ya mambo huwa siwaoni. Pia yanapotokea maswala ambayo yanahitaji wasomi wawafumbue macho wajinga unakuta nao wamehusika . Natoa mifano mitatu tu kwakuwa sina muda wa kutosha:-
1. Ujio wa deci; walioliwa wengi ni pamoja na maprofessor wa uchumi
2. Babu wa loliondo; amekula pamoja na madaktari na maprof na wasomi wenye degree zao
3. Mafuta ya ubuyu nk.. Wasomi kadhaa wamekunywa bila hata kuhitaji scientific evidence ya ubora wake
4. Maisha ya mtaani wengi wasomi wanaishi na kufanya shughuli zile zile za wasiosoma. Mfano wote tunafungua bajaji na boda boda, cosmetics, staionaries.. Ningetegemea wasomi hasa wa uchumi na biashara watupe mfano sisi mburula.
5. Ukienda kwa bagamoyo ushirikina pamoja na wasomi wanaogombea vyeo wamo kibao.

Sasa huwa nashindwa kupata jibu as to what has happened with their education? Nimeshuhudia kwamba hii haijalishi kasoma bongo or kaja kutoka ughaibuni. Kwakuwa humu jf wamo pia nawauliza maana ya kujidhalilisha nini chanzo cha haya yote? Mmekariri au mlisomea vyeti, au mmelogwa au wavivu wa kujiendeleza na kubuni mambo ? Au ... Au ... Au .. Hamkuelimika?

Mandokwa

bongo hatuna wasomi,tuna makabwela wakubwa tu.Bora nchi iongozwe na f4 failures kuliko hawa vibaka wanaojiita wasomi huku wakiwa na tamaa na wezi wakubwa
 
Kunasababu nyingi ambazo zinaweza kuwa zimechangaia kuwepo kwa tatizo hilo lakini kubwa zaidi hapa ni mfumo wa utawala ndio chanzo kikubwa.
  • Masalani mfumo wa uongozi tanzania hausamini watu waliosoma mwanasiasa ambaye ni kidato cha nne anamaisha mazuri kuliko profesa anatembelea VX analipwa mshahara na marupurupu kibao ndio maana wasomi nao wameona siasa inalipa nao wamehamua kukimbilia huko. Ukiingia kwenye siasa huwezi kushinda bila kutoa rushwa. pia ushirikina umetawala katika siasa bila hivyo inasadikika kuwa mtu hawezi kushinda kwa hiyo suala la kuchaguliwa kuwa kiongozi haitegemeani na competence ya mtu.
  • Pili msomi alitakiwa kufanya tafiti na kuandika vitabu ili kuchaingia ufahamu katika jamii lakini mfumo wa uongozi wa tanzania hausamini tafiti na hata ukifanya utafiti findings zako haziwezi kuwa implemented sasa hili linakatisha tamaa nchi kama china tafiti zinapewa kipaumbele sana kuna pesa nyingi ambazo zinatengwa kwa ajili ya tafiti na hata mshahara wa profesa wa uchina ni mdogo lakini pesa za tafiti ni nyingi kwa hiyo inawatia moyo wasomi wa huko kujikita katika tafiti lakini kwetu ni kinyume ndio maana wasomi wetu wanatafuta njia nyingine za kuishi. Lakini pia kwa tanzania hata ukifikiria kufanya mradi mkubwa mtaji nao ni tatizo lingine mind you unamshahara mdogo saa nyingine huna kitu chenye samani kubwa ambacho waweza kukitumia kama dhamana sasa utafanyaje ni lazima na wewe uuze kaduka na biashara nyingine zinazofanywana walalahoi kwa kuwa na wewe ni mlalahoi.
  • Tatizo jingine ni mfumo wa elimu wa tanzania haumjengei mwanafunzi kutambua ni resources gani zipo katika nchi yake na jinsi gani anaweza kuzitumia katika kujiletea maendeleo. Pia hampi mtu fursa ya kutambua mazingira anayoishi au yaliyo mzunguka na jinsi gani ya kukabiliana nayo. Mitaala inayotumika ni ile iliyokopiwa kutoka katika nchi za magharibu ambapo falsafa inayotumika huko haiwezi kusaidia maaendeleo ya taifa letu kwa maana thory za magharibi haziwezi kwendena kamwe na za kwetu kwani mazingira ni tofauti. Baada ya kujifunza kilimo cha mahindi iringa na ruvuma utafundishwa kilimo cha mahindi sijui brazili sijui kilimo cha zabibu australia badala ya dodoma sasa mambo ya jinsi hii hayawezi kutusaidia tusome mazingira yetu ili tuweze kuyamudu ndio tutapiga hatua.
  • Kwa hiyo mkuu usilaumu tu jua kunamambo mengi nyuma ya pazia
 
Wakuu wanajf,
nalazimika kuwauliza leo kuhusu wasomi wetu hapa bongo. Hasa swali langu linahusisha uwezo wao wa kufikiri na kuamua.
Nimekuwa nikifuatilia mara kadhaa pale linapotokea suala la kitaifa or kimataifa ambalo lingehitaji wasomi wetu watoe tafsiri ya mambo huwa siwaoni. Pia yanapotokea maswala ambayo yanahitaji wasomi wawafumbue macho wajinga unakuta nao wamehusika . Natoa mifano mitatu tu kwakuwa sina muda wa kutosha:-
1. Ujio wa deci; walioliwa wengi ni pamoja na maprofessor wa uchumi
2. Babu wa loliondo; amekula pamoja na madaktari na maprof na wasomi wenye degree zao
3. Mafuta ya ubuyu nk.. Wasomi kadhaa wamekunywa bila hata kuhitaji scientific evidence ya ubora wake
4. Maisha ya mtaani wengi wasomi wanaishi na kufanya shughuli zile zile za wasiosoma. Mfano wote tunafungua bajaji na boda boda, cosmetics, staionaries.. Ningetegemea wasomi hasa wa uchumi na biashara watupe mfano sisi mburula.
5. Ukienda kwa bagamoyo ushirikina pamoja na wasomi wanaogombea vyeo wamo kibao.
kumbuka jasiri haachi asili..........................
 
Back
Top Bottom