Kanuniya68
Senior Member
- May 26, 2013
- 157
- 44
Mabadiliko ya baraza la mawaziri yameleta sura mpya lakini pia yamewaondoa baadhi ya waliokuwepo. Mmoja kati ya walioondolewa bila kutarajiwa ni mh.ole medeye aliyekuwa naibu waziri wa wizara ya ardhi ,nyumba na maendeleo ya makazi. Je ni nini kilichomfanya naibu waziri huyu kuachwa. Je ni zile tuhuma kuwa anafanya siasa za ukabila arusha? Au ni 'kuonekana ikiwa bega kwa bega' na 'kujionyesha waziwazi' akimuunga mkono mh.lowasa?...lakini pia pengine ni 'kuperfom' chini ya kiwango?..(ingawa mimi binafsi siamini kama hiyo inaweza kuwa ni sababu,kwani kuna wale 'mizigo' wamepeta)...ni nini siri hasa ndugu zangu?