Nini faida za wivu wa kimapenzi uliopitiliza ?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,894
155,917
Binafsi siendekezi wivu kwa kitu chenye utashi na hiari ya kugawa keki ya taifa kwa amtakaye.

Matukio ya kusikitisha, kuogopesha na kukatisha tamaa yamekuwa yakiongezeka kila uchao.

Matukio ya kuua ni kujiua sasa yameanza kuzoeleka kwa vijana (Mabilionea wa Moshi/ Arusha) wakiongoza kwa kuwa na wivu na shabaha duni..

Wengine wameenda mbali zaidi kwa kuwafungia ndani wenzi wao na watoto kisha kulipua nyumba na vyote vilivyomo.

Nini kifanyike?

Hii ni fursa nyingine ya kuwekeza. Kuna haja ya kuanzisha vituo vya ushauri nasaha juu ya kuudhibiti wivu na namna ya kutambua ubaya na athari za kulipiza kisasi.

Pia kuna haja ya kuwafundisha watu namna ya kudhibiti hasira
 
Bujibuji


wivu unaua!!!

kama huamini.. waulize wachaga wa leo!!
 
Last edited by a moderator:
[h=2]Nini faida za wivu wa kimapenzi uliopitiliza ?
[/h]
Kama swali lako ni hili, basi binafsi mpaka nimefikia umri huu sijawahi kusikia mtu akielezea faida yoyote ya wivu wa kimapenzi uliopitiliza. Kwa miaka kadhaa, nimekuwa nikisikia hasara tu za watu kuua au hata kujiua. Sioni faida mkuu wangu kwa wivu wa aina hii.

Naungana na wewe kuwa ni kweli tunahitaji ushauri katika mambo ya mahusiano!
 
[/COLOR][/h]
Kama swali lako ni hili, basi binafsi mpaka nimefikia umri huu sijawahi kusikia mtu akielezea faida yoyote ya wivu wa kimapenzi uliopitiliza. Kwa miaka kadhaa, nimekuwa nikisikia hasara tu za watu kuua au hata kujiua. Sioni faida mkuu wangu kwa wivu wa aina hii.

Naungana na wewe kuwa ni kweli tunahitaji ushauri katika mambo ya mahusiano!

Swadakta
 
[/COLOR][/h]
Kama swali lako ni hili, basi binafsi mpaka nimefikia umri huu sijawahi kusikia mtu akielezea faida yoyote ya wivu wa kimapenzi uliopitiliza. Kwa miaka kadhaa, nimekuwa nikisikia hasara tu za watu kuua au hata kujiua. Sioni faida mkuu wangu kwa wivu wa aina hii.

Naungana na wewe kuwa ni kweli tunahitaji ushauri katika mambo ya mahusiano!


Washauri wapo ila hatuwatumii. Tunaendesha mahusiano kwa mazoea na yakienda ndivyo sivyo ndio kila mmoja anafanya kile ambacho akili yake inamtuma kufanya
 
Bro! umeuliza swali la msingi sana.

Ukweli ni kwamba malezi na makuzi yetu kama wanadamu ndio sababu ya mambo yote. Tunafundishwa kuhangaika kwaajili ya kujilimbikizia. Kila kitu tunachokifanya tunafudishwa kukifanya ili tuongeze umiliki kwa maana nyingine misingi ya makuzi na ulimwengu hii imejengwa kwenye ubinafsi. Kwamaana hii hata neno mapenzi kati ya mwanamke na mwanamme ni namna fulani ya kukamilishwa utupu au uwazi fulani uliko kwenye nafsi zetu. mapenzi yanatakiwa yatupe uhuru lakini utashangaa duniani kote mapenzi yamekuwa ni kifungo cha nafsi. Matajiri wengi wamekufa na maskini halikadhalika! Ukiniuliza kwanini jamaa amempiga risasi demu wake; sababu ni hiyo hiyo; kitu cha msingi ukigundua umempenda mtu na anakusaliti jiulize miaka yote kabla hujawa naye uliishi vipi? then, let it go.

thanks

brother GININGI-I AM NEW HERE
 
Bro! umeuliza swali la msingi sana.

Ukweli ni kwamba malezi na makuzi yetu kama wanadamu ndio sababu ya mambo yote. Tunafundishwa kuhangaika kwaajili ya kujilimbikizia. Kila kitu tunachokifanya tunafudishwa kukifanya ili tuongeze umiliki kwa maana nyingine misingi ya makuzi na ulimwengu hii imejengwa kwenye ubinafsi. Kwamaana hii hata neno mapenzi kati ya mwanamke na mwanamme ni namna fulani ya kukamilishwa utupu au uwazi fulani uliko kwenye nafsi zetu. mapenzi yanatakiwa yatupe uhuru lakini utashangaa duniani kote mapenzi yamekuwa ni kifungo cha nafsi. Matajiri wengi wamekufa na maskini halikadhalika! Ukiniuliza kwanini jamaa amempiga risasi demu wake; sababu ni hiyo hiyo; kitu cha msingi ukigundua umempenda mtu na anakusaliti jiulize miaka yote kabla hujawa naye uliishi vipi? then, let it go.

thanks

brother GININGI-I AM NEW HERE
karibu sana na shukrani kwa mchango mzuri...
hapo kwenye ku-let it go.... mchaga ambaye kawekeza mamilioni kadhaa anaona ugumu hapo. sijui wanapata faida gani wanapojiua? mbaya zaidi kama alivyosema Bujibuji wana shabaha duni..... wanaishia kujiua wenyewe na wasiokuwa walengwa wakuu wakiwaacha walengwa wakuu wakiendelea kula bata......
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hamna bhana!
Ule uzi ni kwa kutoa makavu na somo kwa wachaga!
Waache ushamba wao wa kuhudumia wake/wapenzi wao kama watoto wao! Na wakifanya hivyo wakitemwa watulie tu kama nö 1!
...
Huu wa leo jamaa anatoa wazo kuwe na mabaraza ya kutoa ushauri juu ya WIVU! wachaga leo ni kama mfano na sio topic!
Understand!
Du! haya mkuu, nimeelewa.
 
Urais-Tanzania-2015.jpg.jpg
 
Back
Top Bottom