Nini faida ya mazoezi, nifanye mazoezi gani kwa wakati gani ili kutatua tatizo gani?

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,277
6,673
Habari wakuu, Lengo la kuweka thread hii ni kuwaomba wataalamu wa mazoezi ya viungo kutupatia
ufafanuzi zaidi juu ya mazoezi ya aina mbalimbali, mazoezi yenye faida na faida zake na mazoezi yenye
hasara (kama zipo) ni mazoezi gani na hasara zake ni zipi.

Mfano. Nilikuwa nafanya zoezi la kukimbia km 5 kila siku, faida ninayoiona ni wepesi, uchangamfu wa mwili na
kuepukana na ugonjwa wa mafua.

Nimekuwa nafanya zoezi la kuruka kichurachura lakini sijawahi kufahamu faida yake, nimepiga pushapu
zaidi ya kutuna mikono na kuwatisha watu bado sijafahamu faida yake.

Nimewahi kufanya zoezi bila shaka linaitwa 'skwati' nalo hata sijaelewa.

Nimesikia kuna mazoezi yanasaidia kuongeza nguvu za kiume, kuondoa kitambi n.k lakini bado sifafahamu
ni mazoezi ya aina gani.

WATAALAMU WA MAZOEZI NA WANA JF WENGINE AMBAO MNA UELEWA WA MAZOEZI NAWAOMBENI TUPEANE
UZOEFU KWA KILE TUNACHOKIFAHAMU.
 
KUNA RUSSIAN TWIST KWA AJILI YA KUKATA TUMBO NALIPENDA SANA.
SQUIRT NI NZURI SANA KUIMARISHA MISULI
PUSH UPS NAKO NI NZURI FOR BODY BUILDERS.
KURUKA KAMBA NI ZOEZI ZURI SANA LINAJUMUISHA MAZOEZI YOTE
DOWNLOAD HOME WORKOUTS KWENYE SIMU UTAJIFUNZA MAZOEZI MENGI SANA
 
Habari wakuu, Lengo la kuweka thread hii ni kuwaomba wataalamu wa mazoezi ya viungo kutupatia
ufafanuzi zaidi juu ya mazoezi ya aina mbalimbali, mazoezi yenye faida na faida zake na mazoezi yenye
hasara (kama zipo) ni mazoezi gani na hasara zake ni zipi.

Mfano. Nilikuwa nafanya zoezi la kukimbia km 5 kila siku, faida ninayoiona ni wepesi, uchangamfu wa mwili na
kuepukana na ugonjwa wa mafua.

Nimekuwa nafanya zoezi la kuruka kichurachura lakini sijawahi kufahamu faida yake, nimepiga pushapu
zaidi ya kutuna mikono na kuwatisha watu bado sijafahamu faida yake.

Nimewahi kufanya zoezi bila shaka linaitwa 'skwati' nalo hata sijaelewa.

Nimesikia kuna mazoezi yanasaidia kuongeza nguvu za kiume, kuondoa kitambi n.k lakini bado sifafahamu
ni mazoezi ya aina gani.

WATAALAMU WA MAZOEZI NA WANA JF WENGINE AMBAO MNA UELEWA WA MAZOEZI NAWAOMBENI TUPEANE
UZOEFU KWA KILE TUNACHOKIFAHAMU.View attachment 1006134
kabla sijakushauri naomba kujua kwanza kama huyo kwenye hiyo picha ndio wewe pls
 
Habari wakuu, Lengo la kuweka thread hii ni kuwaomba wataalamu wa mazoezi ya viungo kutupatia
ufafanuzi zaidi juu ya mazoezi ya aina mbalimbali, mazoezi yenye faida na faida zake na mazoezi yenye
hasara (kama zipo) ni mazoezi gani na hasara zake ni zipi.

Mfano. Nilikuwa nafanya zoezi la kukimbia km 5 kila siku, faida ninayoiona ni wepesi, uchangamfu wa mwili na
kuepukana na ugonjwa wa mafua.

Nimekuwa nafanya zoezi la kuruka kichurachura lakini sijawahi kufahamu faida yake, nimepiga pushapu
zaidi ya kutuna mikono na kuwatisha watu bado sijafahamu faida yake.

Nimewahi kufanya zoezi bila shaka linaitwa 'skwati' nalo hata sijaelewa.

Nimesikia kuna mazoezi yanasaidia kuongeza nguvu za kiume, kuondoa kitambi n.k lakini bado sifafahamu
ni mazoezi ya aina gani.

WATAALAMU WA MAZOEZI NA WANA JF WENGINE AMBAO MNA UELEWA WA MAZOEZI NAWAOMBENI TUPEANE
UZOEFU KWA KILE TUNACHOKIFAHAMU.View attachment 1006134

Kuna mdau kahoji lengo lako.

Unataka kufanya mazoezi ili iweje? Ujenge mwili? Upunguze uzito? Uongeze nguvu? Uongeze stamina?

Hatua ya kwanza ni wewe ku identify lengo lako.

Kwa sababu kila sababu ina aina yake ya mazoezi pamoja na mambo mengine kama aina ya chakula na kadhalika.
 
Habari wakuu, Lengo la kuweka thread hii ni kuwaomba wataalamu wa mazoezi ya viungo kutupatia
ufafanuzi zaidi juu ya mazoezi ya aina mbalimbali, mazoezi yenye faida na faida zake na mazoezi yenye
hasara (kama zipo) ni mazoezi gani na hasara zake ni zipi.

Mfano. Nilikuwa nafanya zoezi la kukimbia km 5 kila siku, faida ninayoiona ni wepesi, uchangamfu wa mwili na
kuepukana na ugonjwa wa mafua.

Nimekuwa nafanya zoezi la kuruka kichurachura lakini sijawahi kufahamu faida yake, nimepiga pushapu
zaidi ya kutuna mikono na kuwatisha watu bado sijafahamu faida yake.

Nimewahi kufanya zoezi bila shaka linaitwa 'skwati' nalo hata sijaelewa.

Nimesikia kuna mazoezi yanasaidia kuongeza nguvu za kiume, kuondoa kitambi n.k lakini bado sifafahamu
ni mazoezi ya aina gani.

WATAALAMU WA MAZOEZI NA WANA JF WENGINE AMBAO MNA UELEWA WA MAZOEZI NAWAOMBENI TUPEANE
UZOEFU KWA KILE TUNACHOKIFAHAMU.View attachment 1006134
Adults ages 18 to 64 years

Adults should spend less time being sedentary and more time moving. Every little bit of physical activity counts, including the following:

Aerobic activity:
At least 150 to 300 minutes a week of moderate-intensity physical activity; or 75 to 150 minutes a week of vigorous-intensity physical activity; or some combination of both. Ideally, this should be spread throughout the week. Additional health benefits are gained by doing extra physical activity during the week.
Muscle-strengthening activity:
At least 2 days a week of moderate- or vigorous-intensity weight-lifting or resistance exercise that targets all the major muscle groups of the body — legs, hips, back, abdomen, chest, shoulders, and arms.
Intensity:
Moderate-intensity activities include walking briskly, playing volleyball, or raking the yard. Vigorous-intensity activities include running, carrying heavy groceries, and doing a strenuous fitness class. Many activities vary in intensity depending on the effort required.
 
KUNA RUSSIAN TWIST KWA AJILI YA KUKATA TUMBO NALIPENDA SANA.
SQUIRT NI NZURI SANA KUIMARISHA MISULI
PUSH UPS NAKO NI NZURI FOR BODY BUILDERS.
KURUKA KAMBA NI ZOEZI ZURI SANA LINAJUMUISHA MAZOEZI YOTE
DOWNLOAD HOME WORKOUTS KWENYE SIMU UTAJIFUNZA MAZOEZI MENGI SANA


Mkuu kama hutajali nifundishe hilo la SQUIRT.. nipo tayari kukufata ulipo...linasaidia n mwilini😊😊..nasubiri majibu
 
Kuna mdau kahoji lengo lako.

Unataka kufanya mazoezi ili iweje? Ujenge mwili? Upunguze uzito? Uongeze nguvu? Uongeze stamina?

Hatua ya kwanza ni wewe ku identify lengo lako.

Kwa sababu kila sababu ina aina yake ya mazoezi pamoja na mambo mengine kama aina ya chakula na kadhalika.
Lengo ni Kupunguza uzito na kuondoa kitambi, sasa nafanya mazoezi uzito unapungua kidogo mno
na kitambi kinaendelea kuwepo ninachofaidika ni wepesi wa kutembea bila kuhema ovyo tu.
 
Back
Top Bottom