Dijovisonjn
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 466
- 125
Kila likitokea jambo lenye hasara kwa jamii furahi, wanaibuka watu, taasisi, vyama n.k kutoa matamko!
Baada ya kifo cha mwandishi wa habari nahisi yameishatolewa matamko zaidi ya mia moja!
Kwa anayefahamu faida za haya matamko, tafadhali naomba anisaidie kunielimisha!
Baada ya kifo cha mwandishi wa habari nahisi yameishatolewa matamko zaidi ya mia moja!
Kwa anayefahamu faida za haya matamko, tafadhali naomba anisaidie kunielimisha!