Nini dawa ya uume kusimama kwa mda mrefu

Nini dawa ya uume kusimama kwa mda mrefu

Kuwa na pesa tu ndiyo suluhisho la kudumu.

Pesa itakufanya ujiamini.

pesa itakufanya usiwe na stress za masunbuko ya maisha/umaskinI.

Pesa itakufanya uwe na utulivu wa akili.

Pesa itakufanya mwanamke uliye nae akuheshimu, asikudharau dharau hovyo.

Hivyo mwisho wa siku unakuwa unatomba kwa utulivu bila kuwa na mawazo mengi kichwani wala papara, hapo lazima uwe unapiga kuanzia 40 minutes hadi one hour per goal.

Mchawi wa nguvu za kiume ni pesa.

Acha kudanganywa na movie eti wenye pesa wanasumbuliwa na mapenzi, labda wanawake ila siyo wanaume.
Ivi umesoma nakuilewa thread mkuu
 
Kama unasema kweli na hautanii...
Ni tatizo hilo na kitaalamu huitwa Priapism..
Mara nyingi huwatokea watu wenye matatizo ya blood cells Morphology kama wale wa Sickler..
Japo ziko aina mbili Hiyo ya sicklers Huitwa ischemic Pria...
Japo hii ulotaja inaonekana Ni non-Ischemic Priapism ni nadra sana kutokea (Rare sana)..
Kama utaweza Nenda Hospitali iliyo karibu kabla haijakuletea madhara mengine..
Maana mara nyingi hii huweza kuwa dalili ya magonjwa mengine...
Maelekezo mengi ila hakuna cha utaalamu wowote pale.

Watalaamu wa biology wanasema kama wewe unaweza kudumu dakika 5,7 hadi 11 kwenye game basi wewe huna tatizo la ngumu za kiume ni wasi wasi wako tu.

Wanaume wengi wanadhani wana matatizo ya nguvu ya kiume lakini kumbe ni wasi wasi wao tu kwa kusoma ma stori ya huku mtandaoni wanako simuliana vijana.

Na kama kweli analo, basi hata haitaji kwenda hospitali bali ni kubadi life style tu na lishe mbona atakaa sawa.

Huenda tu ni muathirika wa nyeto, X videos au kukosa mazoezi ya viungo.

Lakini akiacha hivo vitu na kuanza mazoezi na kula mboga za majani kwa wingi na matunda mbona anatoboa tu
 
Maelekezo mengi ila hakuna cha utaalamu wowote pale.

Watalaamu wa biology wanasema kama wewe unaweza kudumu dakika 5,7 hadi 11 kwenye game basi wewe huna tatizo la ngumu za kiume ni wasi wasi wako tu.

Wanaume wengi wanadhani wana matatizo ya nguvu ya kiume lakini kumbe ni wasi wasi wao tu kwa kusoma ma stori ya huku mtandaoni wanako simuliana vijana.

Na kama kweli analo, basi hata haitaji kwenda hospitali bali ni kubadi life style tu na lishe mbona atakaa sawa.

Huenda tu ni muathirika wa nyeto, X videos au kukosa mazoezi ya viungo.

Lakini akiacha hivo vitu na kuanza mazoezi na kula mboga za majani kwa wingi na matunda mbona anatoboa tu
Cha kwanza Sidhani kama kazungumzia nguvu za kiume..
Cha pili Mimi Si mtaalmu wa Biology I am far beyond that Mimi ni Mtaalam wa Afya..(In the medical field)

I know how normal physiology works, so when pathology comes, I know what and how....

Nilichokishauri ni kutokana na maelezo yake kuwa..
Kusimamisha kwa Muda mrefu Mpaka kufika hatua kukereka
(Neno alilotumia kukereka maana yake ni kwamba anakuwa hana hisia Japo maumbile yake yako yanaenda kinyume na yeye)
Then ushauri Niliompa Ulikuwa sahihi wa kwenda hospitali ambapo kulingana na maelezo angechunguzwa na kupewa Huduma kulingana na Tatizo lake..(Kwa alivyoelezea)
Na ndyo maana mwanzoni nikasema kama yuko serious kweli anatatio na sio anatania
 
Maelekezo mengi ila hakuna cha utaalamu wowote pale.

Watalaamu wa biology wanasema kama wewe unaweza kudumu dakika 5,7 hadi 11 kwenye game basi wewe huna tatizo la ngumu za kiume ni wasi wasi wako tu.

Wanaume wengi wanadhani wana matatizo ya nguvu ya kiume lakini kumbe ni wasi wasi wao tu kwa kusoma ma stori ya huku mtandaoni wanako simuliana vijana.

Na kama kweli analo, basi hata haitaji kwenda hospitali bali ni kubadi life style tu na lishe mbona atakaa sawa.

Huenda tu ni muathirika wa nyeto, X videos au kukosa mazoezi ya viungo.

Lakini akiacha hivo vitu na kuanza mazoezi na kula mboga za majani kwa wingi na matunda mbona anatoboa tu
Umenifanya nimerudi kusoma uzi upya.

Ni kweli kumbe nilielewa vibaya.

Mimi nikielewa kwamba anataka dawa awe anasimamisha mda mrefu, kumbe badala yake ni kinyume chake
 
Yote anatakiwa atafute ushauri wa kitabibu,kwani akisema hivyo yaweza kuwa minyoo pia.
Na ndiyo maana tunashauriwa kutafakari kabla ya kutenda jambo au kujieleza.Si kila jambo ni la kubwagwa hadharani kwa sababu tu unatumia fake id!
 
Cha kwanza Sidhani kama kazungumzia nguvu za kiume..
Cha pili Mimi Si mtaalmu wa Biology I am far beyond that Mimi ni Mtaalam wa Afya..(In the medical field)

I know how normal physiology works, so when pathology comes, I know what and how....

Nilichokishauri ni kutokana na maelezo yake kuwa..
Kusimamisha kwa Muda mrefu Mpaka kufika hatua kukereka
(Neno alilotumia kukereka maana yake ni kwamba anakuwa hana hisia Japo maumbile yake yako yanaenda kinyume na yeye)
Then ushauri Niliompa Ulikuwa sahihi wa kwenda hospitali ambapo kulingana na maelezo angechunguzwa na kupewa Huduma kulingana na Tatizo lake..(Kwa alivyoelezea)
Na ndyo maana mwanzoni nikasema kama yuko serious kweli anatatio na sio anatania
Nadhani itakuwa delayed ejaculation hiyo mkuu.
 
Nina tatizo ambao wanajua naomba wanisaidie toka niowe mke wangu kwasasa tuna wiki 3 na nusu toka tuoane
Ila kila nikipiga game na mke wangu uume wangu unasimama kwa mda mrefu bila kulala na kwa bahati mbaya si mwagi kabisa na nikibahatika kumwaga na mwaga kidogo
Japo mke wangu Ana enjoy lakini Mimi hali hii inanikera
Sijui tatizo ili ni nini
acha nyeto, utapona
 
njema.
2. Mfumo mzuri wa damu katika mwili mzima.
3. Mtiririko imara wa damu kuingia na kutoka ndani ya mishipa ya uume.
4. Ushirikiano wenye afya kati ya mishipa ya fahamu ya kwenye ubongo (nerves), mishipa ya kwenye uti wa mgongo pamoja na mishipa ya kwenye uume.

Ili mwanaume aweze kuwa imara katika tendo la ndoa, ni lazima mambo manne niliyo yataja hapo juu yawe sawa sawa bila hitilafu yoyote. Kinyume chake, mwanaume hawezi kuwa na nguvu za kiume.
 
Back
Top Bottom