wazirib28
JF-Expert Member
- Dec 14, 2015
- 460
- 275
Sijaelewa unamaanisha nini? Au ungefungua uzi wa hilo suala...Jamani naombeni mnisaidie suala la elimu bure hapa Tanzania Mimi nilidhani ni bure kweli lkn huku rukwa manispaa ya sumbawanga katika Shule ya msingi chem chem Mwl Mkuu anawagiza wanafunzi kununua kadi za maendeleo je fedha za elimu za elimu bure hazihusu manunuzi hayo na mm mwenyewe watoto wangu wameagizwa. nisaidieni mwenzenu kama hata huko kwenu yapo haya.

