Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,114
Hizo picha hazina uhalisia maana nimeona huwa wakifika mwaka wa tatu ndo wanaanza kujitambua maana wanaenda mtaani, ila kimbembe mwaka wa kwanza semester ya pili, mwaka wa pili wote na semester ya kwanza mwaka wa tatu

