Nini chanzo??? Na nini kifanyike???

Nini chanzo??? Na nini kifanyike???

miss confidence

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2016
Posts
393
Reaction score
273
Naamini humu kuna wenzetu wametutangulia katika viwango vya elimu ...hivyo basi Naomba mtusaidie ni vitu gani huwafanya au kuwachochea vijana wengi wanapo ingia chuoni kubadilika na kujiingiza katika matendo machafu mfano ulevi, wizi na vingine vingi....

Na pia naomba mtusaidie ili mtu aweze kuepukana na vitendo hivi anatakiwa azingatie yapi???

Ushauri Tafadhari......

[HASHTAG]#Kwa[/HASHTAG] manufaaa ya first year woteee#

1476284541653.jpg
 
Sababu kubwa ni uhuru ambao mtu anaupata,mfano umetokea mkoani na ulikuwa chin ya wazazi na sasa hv unakuja chuo dar huna ndugu wala mtu unayemfaham ina maana hakuna anaye kucontrol ni ww na nafsi yako,i mean unapata uhuru kwahyo yale maadili yte uliokuwa nayo yanapotea.

NB;Sio kila mtu anabadilika anavyopata uhuru
 
Ni ujinga na upunguani. Wanafunzi wengi wa chuo ni fwata mkumbo akishaona fulani anafanya basi na yeye anataka afanye ili aonekane anaenda na wakati
 
Sababu kubwa ni uhuru ambao mtu anaupata,mfano umetokea mkoani na ulikuwa chin ya wazazi na sasa hv unakuja chuo dar huna ndugu wala mtu unayemfaham ina maana hakuna anaye kucontrol ni ww na nafsi yako,i mean unapata uhuru kwahyo yale maadili yte uliokuwa nayo yanapotea.

NB;Sio kila mtu anabadilika anavyopata uhuru
Umenena points mkuu...shukrani kwa hili
 
kwanza niunge mkono maoni ya wenzangu lkn jingine ni kudhihirisha kuwa bila jamii kuandaliwa kiroho na kujitambua wao na kujua lengo la kuumbwa kwao kamwe tusitegmee kuwa shule na vyuo ni sehemu ya kuandaa jamii bora tazama wale wote eanaoitwa wasomi ndio hao wanaongoza kwa ujinga na ndio vinara wa kuiga
 
Kampani+lack of self control &determination+ushamba+boom+freedom.......etc
Yako mengi lakini cha msingi ni kujitambua tuu,pia msisahau kufanya ibada kulingana na imani zenu,ni muhimu sana!.
 
Fata ambayo wazazi/walezi wako wamekuusia..kisha kumbuka msemo usemao "ukiona vinaelea ujue Vimeundwa" kwa mtoto wa kike ukipenda matoleo ya Smartphone hiyo sketi lazima ishuke sana na pampas utavaa na kwa wakiume ukipenda sketi/pombe/starehe sup na disco zitakumaliza kisha utarudi nyumbani ukiwa na umeme
 
Kampani+lack of self control &determination+ushamba+boom+freedom.......etc
Yako mengi lakini cha msingi ni kujitambua tuu,pia msisahau kufanya ibada kulingana na imani zenu,ni muhimu sana!.
Shukrani sana mkuu nitayazingatia mahusia yako
 
bhana eeeh msitutishe chuo tutaenda na clubs vile vile tutanenda alafu tuone kama tutasup.........
 
Pamoja na kuandaliwa kiroho na mengine mengi mfumo wa maisha kwa sasa wenyewe tu unabadirisha kizazi automatically, so pamoja na kumpa elimu na mafunzo mtoto yabidi kutia nia kweli kweli..!
 
Hapo ni kujiongeza kwa watoto Wa kike wanataka kuishi kwa mabum ya vijana Wa kiume tuwen macho!!!"
 
ujana+boom+kuiga tabia... ila pia inategemea na course kwa mfano wale wanaochukua Engineering wengi wao huwa hawana habari na usister du
 
Back
Top Bottom