Songoro
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 4,122
- 1,017
Shule za Boarding na Vi camp vya kujisomea wanafunz wa vyuo na shule za Sekondari ni chanzo kikuu cha ushoga, watoto wakubwa hushawish vijana wadogo bila ya kujua athari zake matokeo yake ndio hayo, vijana walio balegh kwa mujib wa Uislam hawaruhusiwi kulala kitanda kimoja hasa mlalo wa upande mmoja kwa kuwa Shtan hutembelea na kuvuruga akil zao kwa hiyo tujiegemeze mafuzo ya Dini kujiepusha na laana hii ambayo hata shetan kajitenga nayo!