fiksiman
JF-Expert Member
- May 17, 2008
- 402
- 104
Hivi karibuni nilikuwa maeneo ya kule kuna nani (Tanga), kama mnavyojua kwa wale wenzangu wasafiri wa mara kwa mara ukifika eneo fulani na kupiga kambi hamu ya kupata wenyeji inakuwa kubwa.
Sasa kwa jiji hili ndo burudani zaidi...basi mie shida yangu kubwa ilikuwa kupata mtoto mmoja wa kimanga (naipenda sana ile ngozi), katika mihangaiko akatokea mjamaa mmoja ambaye nilishindwa kumuelewa kama ni mwanamke au mwanaume na akajitolea kunitafutia hiyo huduma.
Baada ya nusu saa kweli akanikabidhi kifaa kwa ujira wa 20,000 ya kitanzania (huo ni kwa usiku mzima na huduma zote zinapatikana).
Siku ya pili yake yule jikedume akaning'ang'ania nilale nae tena kwa kunishawishi kwelikweli nahisi angekuwa chumbani basi angetaka nimbake.
Hii ikanifanya nijiulize hivi hawa jamaa wamepungukiwa nini hadi wafikie hapo walipo maana nilikuja kugundua kuwa wako wengi sana pale Tanga na wana soko kuliko wenye nyumba.
Sasa kwa jiji hili ndo burudani zaidi...basi mie shida yangu kubwa ilikuwa kupata mtoto mmoja wa kimanga (naipenda sana ile ngozi), katika mihangaiko akatokea mjamaa mmoja ambaye nilishindwa kumuelewa kama ni mwanamke au mwanaume na akajitolea kunitafutia hiyo huduma.
Baada ya nusu saa kweli akanikabidhi kifaa kwa ujira wa 20,000 ya kitanzania (huo ni kwa usiku mzima na huduma zote zinapatikana).
Siku ya pili yake yule jikedume akaning'ang'ania nilale nae tena kwa kunishawishi kwelikweli nahisi angekuwa chumbani basi angetaka nimbake.
Hii ikanifanya nijiulize hivi hawa jamaa wamepungukiwa nini hadi wafikie hapo walipo maana nilikuja kugundua kuwa wako wengi sana pale Tanga na wana soko kuliko wenye nyumba.