Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

fiksiman

JF-Expert Member
May 17, 2008
402
104
Hivi karibuni nilikuwa maeneo ya kule kuna nani (Tanga), kama mnavyojua kwa wale wenzangu wasafiri wa mara kwa mara ukifika eneo fulani na kupiga kambi hamu ya kupata wenyeji inakuwa kubwa.

Sasa kwa jiji hili ndo burudani zaidi...basi mie shida yangu kubwa ilikuwa kupata mtoto mmoja wa kimanga (naipenda sana ile ngozi), katika mihangaiko akatokea mjamaa mmoja ambaye nilishindwa kumuelewa kama ni mwanamke au mwanaume na akajitolea kunitafutia hiyo huduma.

Baada ya nusu saa kweli akanikabidhi kifaa kwa ujira wa 20,000 ya kitanzania (huo ni kwa usiku mzima na huduma zote zinapatikana).

Siku ya pili yake yule jikedume akaning'ang'ania nilale nae tena kwa kunishawishi kwelikweli nahisi angekuwa chumbani basi angetaka nimbake.

Hii ikanifanya nijiulize hivi hawa jamaa wamepungukiwa nini hadi wafikie hapo walipo maana nilikuja kugundua kuwa wako wengi sana pale Tanga na wana soko kuliko wenye nyumba.
 
Bado hujamaliza alivyokushawishi ulikubali?

Ilikuaje mpaka akakutokea una mfanano na mabasha nini?
 
Asifie Mvuwa imemnyeshea !!!!!!!!!na dalili za mvuwa ni mawingu,any way kila mja na FANTASI zake angalau umejitokeza na kutueleza indirect yaliyo salia tutatumia vichwa vyetu.
 
Asifie Mvuwa imemnyeshea !!!!!!!!!na dalili za
vuwa ni mawingu,any way kila mja na FANTASI zake angalau umejitokeza na kutueleza indirect yaliyo salia tutatumia vichwa vyetu.
mi nadhani huyo dada uliyeletewa na huyo jikedume kama ulivyomuita, ulimfanya kitu ambacho hata huyo jikedume anaweza kukupa na ndio maana kesho akakufata kwa sababu yule dada alimpa mkanda mzima,
kanusha bac
 
  • Thanks
Reactions: amu
mi nadhani huyo dada uliyeletewa na huyo jikedume kama ulivyomuita, ulimfanya kitu ambacho hata huyo jikedume anaweza kukupa na ndio maana kesho akakufata kwa sababu yule dada alimpa mkanda mzima,
kanusha bac


Mkuu mbona umeweka coment mahali sio pake ?naona hayo maneno hayaowani au nio kiswahili kipya?
 
WATU BWANA...sasa mbona mnanisakama mimi wakati mi nimeuliza tu swali la kawaida kuhusu mabadiliko ya kimaumbile....kilichoendelea mimi na hao washirika wangu sidhani kama ni msaada katika mjadala huu. Ukitaka nenda tanga majibu yapo mengi sana.
 
Kaka Fiksiman, sikujua kumbe wewe nawe ni mwana-sodoma na gomora uliyekubuhu na mbobevu katika kumtangaza shetani na kazi zake. Pole sana kaka maana hukumu yenu itakuwa juu yenu na vizazi vyenu. Mlaaniwe wote wenye tabia hizi, na kama mpo hapa JF sio mahala penu, lakini kwakuwa hapa ni darasani hatuna budi kuwavumilia hivyo hivyo mueendelee kutuhabarisha ufedhuli wa dunia hii.
 
Kaka Fiksiman, sikujua kumbe wewe nawe ni mwana-sodoma na gomora uliyekubuhu na mbobevu katika kumtangaza shetani na kazi zake. Pole sana kaka maana hukumu yenu itakuwa juu yenu na vizazi vyenu. Mlaaniwe wote wenye tabia hizi, na kama mpo hapa JF sio mahala penu, lakini kwakuwa hapa ni darasani hatuna budi kuwavumilia hivyo hivyo mueendelee kutuhabarisha ufedhuli wa dunia hii.
Acha laana zako za kuku weweee, huku kwenye mambo ya kikubwa umefuata nini!?
 
Ushoga na uhanithi ni vitu viwili tofauti, nijuavyo mimi uhanithi ni kwamba jogoo hapandi mtungi na pia si sababu ya kuwa shoga.

Fiksiman umekutana na shoga sasa ukajuaje kama ni *******, mzee huko juu au umekula kiboga na unatupiga fiksi!
 
,,,aaah bora hao wa TA wanasubira kidogo,wangekuwa wale wa kwa RAJJU zenji wala huyo mdada wa kimanga usinge pewa,wangekung'ang'ania wenyewe,yaani unakuta dume linakukomalia mpaka unashangaa,hii dunia inajiishia hii taratiiiibu.
 
Haya haya haya hayaaaaa

hop mko vizuri sana aisee, sasa leo embu tupeane mawazo juu ya hili jambo...

Chanzo cha mwanaume kuwa shoga ninini.?

Dume zima na mindevu yake linamkatikia kiuno mwanaume mwenzie,huku linatoa mihemko ya mahaba na kubana pua oooohh baby.... Baby..

Ivi wewe mwanaume unawaonea geree sana jinsi mademu wanavyo katika mauno kunako 6kwa6 na kulialia.?

Ivi chanzo cha ushoga ni nini wana member.? Embu tudadavue vizuri hili jambo bna mana sielew elewi mnajua.?

Finito..
 
Wengine ni umasikini + tamaa!
Wengine huingiwa na shetani (kibuki)!
Wengine hujaribu!
Wengine hubakwa!
Wengine ugumu wao wenyewe ndio huwapelekea hivyo!
 
Prison-Break-season-5-with-Michael-Scofield-wentworth-miller-12696698-368-500.jpg Prison-Break-prison-break-655026_1280_1024.jpg :yield:
 
umasikini sio sababu coz...mashoga wengi wanauwezo kipesa na huwa wanahonga watu ili wapigwe miti halafu iwe siri...hao mnaowaona ni sample ya wengi waliojificha
 
Ni kazi ya shetani inayopigiwa upatu na mawakala wa ushetani,America is the devil's centre.
"NO SENSE OF HOMOSEXUALITY"hii ni sheria mpy amerika inayowataka wafanyakazi wote wa huduma mbalimbali kutowabugua mashoga,na ukidhubutu kuwabagua inakula kwako.
 
Unajua tatizo linalo2kabili binadamu,ni umimi na hili tatizo lilianza mbali,Adamu alipokula tunda alipoulizwa badala ya kuomba msamaha alisema ni HAWA kampa naye kasema nyoka kwa hiyo cc 2natakiwa tutubu na 2msihi MUNGU hiyo spirit iondoke kabisa katika roho za wanadamu kulaumu sio dawa hata sodoma na gomora wangetubu enzi zile hii roho isingekuwepo,sasa ss tusipojinyenyekesha mbele za MUNGU vizazi vye2 vijavyo wataponea wapi? 2ache kulaumu 2chukue hatua!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom