Nini chanzo cha jogoo kutaga yai ?

Nini chanzo cha jogoo kutaga yai ?

Kuna kitu inaitwa Gonadal dysgenesis, ovary ya kuku mtetea inaweza kuharibika toka akiwa mdogo sana na kupelekea kukua na muonekano wake kubadilika na kuwa kama wa jogoo , hivyo kuna kipindi anaweza kutaga kayai kadogo , na wewe ukaona ni jogoo kataga .

Note , jogoo hawezi kutaga kwa sababu hana ovary za kuzalisha mayai.
 
Kuna kitu inaitwa Gonadal dysgenesis, ovary ya kuku mtetea inaweza kuharibika toka akiwa mdogo sana na kupelekea kukua na muonekano wake kubadilika na kuwa kama wa jogoo , hivyo kuna kipindi anaweza kutaka kayai kadogo , na wewe ukaona ni jogoo kataga .

Note , jogoo hawezi kutaga kwa sababu hana ovary za kuzalisha mayai.
jogoo anawika kabisa mkuu.
 
Kuna kitu inaitwa Gonadal dysgenesis, ovary ya kuku mtetea inaweza kuharibika toka akiwa mdogo sana na kupelekea kukua na muonekano wake kubadilika na kuwa kama wa jogoo , hivyo kuna kipindi anaweza kutaga kayai kadogo , na wewe ukaona ni jogoo kataga .

Note , jogoo hawezi kutaga kwa sababu hana ovary za kuzalisha mayai.
Mimi nijuavyo jogoo yeyote akikua akakomaa sana ni kawaida kutaga yai. Linakuwa dogo kama la njiwa. Na anaweza akataga hadi awamu mbili kama ataendelea ku exist.

Na hata kuku jike akikaa bila jogoo(bila kupandwa) itafika hatua atataga mayai japo haya huwa hayana uwezo wa kuangua vifaranga.

Kwahiyo ktk hilo, naamini kuku kama kuku ni kawaida sana kutaga yai pasipo sababu ya kimaumbile.
 
Mimi nijuavyo jogoo yeyote akikua akakomaa sana ni kawaida kutaga yai. Linakuwa dogo kama la njiwa. Na anaweza akataga hadi awamu mbili kama ataendelea ku exist.

Na hata kuku jike akikaa bila jogoo(bila kupandwa) itafika hatua atataga mayai japo haya huwa hayana uwezo wa kuangua vifaranga.

Kwahiyo ktk hilo, naamini kuku kama kuku ni kawaida sana kutaga yai pasipo sababu ya kimaumbile.
Ni mfumo gani wa kibiologia unao sababisha jogoo kutaga?
 
jogoo hawezi kutaga yai kwa sababu hana mfumo wa uzazi wa kike (ovary na oviduct). Hata hivyo, kuna matukio ambayo huwafanya watu waamini kuwa jogoo ametaga.
Hapa kuna sababu zinazoeleza kile unachokiona


Wakati mwingine kuku jike (mtetea) hutaga yai dogo sana ambalo halina kiini (yolk). Mayai haya huitwa "wind eggs" au "fart eggs." Kwa sababu ni madogo na ya ajabu, watu wengi hudhani yametoka kwa jogoo, hasa kama jogoo alikuwa karibu na kiota hicho.
 
Jogoo Huwa hatagi hivyo viyai vyenyewe Huwa vina maji TU ndani na vigumu,
 
Ni mfumo gani wa kibiologia unao sababisha jogoo kutaga?
Mkuu hapa unataka kuzua arguments zisizo na maana.
Mimi nabaki na msimamo wangu kwamba jogoo ktk kukua kwake hutaga yai moja dogo.
Hizo facts zako za kisayansi baki nazo mwenyewe.
Na kama utalazimisha kwamba huyo jogoo anaetaga ni jike, pia nitakupinga make huyo jogoo anapanda majike na yanataga mayai yenye kutoto vifaranga.
 
Mkuu hapa unataka kuzua arguments zisizo na maana.
Mimi nabaki na msimamo wangu kwamba jogoo ktk kukua kwake hutaga yai moja dogo.
Hizo facts zako za kisayansi baki nazo mwenyewe.
Na kama utalazimisha kwamba huyo jogoo anaetaga ni jike, pia nitakupinga make huyo jogoo anapanda majike na yanataga mayai yenye kutoto vifaranga.
Hilo yai linatoka wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom