Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,407
Yamefanyika maombi hadi ya kuomba mizimu ila wapi!Inamaana tuachane na maombi tuanze na mizizi?
Yamefanyika maombi hadi ya kuomba mizimu ila wapi!Inamaana tuachane na maombi tuanze na mizizi?
Dalili mojawapo hii
Asante sana mkuu.
Siku hizi nimejipa ratiba ya kunywa tangawizi iliyochanganywa na pili pili manga kila ifikapo jioni, najifukiza mwarobaini mara 2 kwa wiki, nakunywa maji mengi zaidi ya nilivyokuwa nakunywa mwanzo, Pia juice ya limao nachanganya na asali.
Kujihami tu.