Na hapo ni wasomi wana degree,masters..ila wana fanya muharo wa namna hii jamani🤔[emoji53][emoji53]Risk minimization interms of death walijitahidi.Sababu nadhani ni basement ilikua weak in relation to the top ndio maana limeanguka zimazima,haya ndo majengo unakuta udongo hauruhusu kujenga gorofa refu ila unalazimisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndio shida,badala ya kuuvaa uhusikaMainjinia wetu toka CoET, UDSM anaenda Site na suti huku anachat kwenye groups kama 10 za whatsapp akil kama hii wataitoa saa ngap
Mbona picha namba nane imeeleza nini kimetokeaRisk minimization interms of death walijitahidi.Sababu nadhani ni basement ilikua weak in relation to the top ndio maana limeanguka zimazima,haya ndo majengo unakuta udongo hauruhusu kujenga gorofa refu ila unalazimisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha namba nane imeeleza kilichotokea, najua picha huwezi kushindwa kuielewaMainjinia wetu toka CoET, UDSM anaenda Site na suti huku anachat kwenye groups kama 10 za whatsapp akil kama hii wataitoa saa ngap
Nadhani unaelewa mdogo juu ya hili, picha namba nane imeeleza kilichotokea.Na hapo ni wasomi wana degree,masters..ila wana fanya muharo wa namna hii jamani🤔[emoji53][emoji53]
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha namba nane imeeleza kilichotokea, najua picha huwezi kushindwa kuielewa
Shanghai Building Collapses, Nearly Intact
In the weekend's bizarrest news, a nearly finished, newly constructed building in Shanghai toppled over, killing one worker. As can be seen in the photo below, the 13-story apartment building collapsed with just enough room to escape what would have been a far more destructive domino effect...on.wsj.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na vilaza hao !ndio maana wengine tume wa mute haiwezekani ulete uzi na ilustration kibao ushindwe kuona hiyo sehemu ya chanzo?hao akili zao zilikuwa tayar hell bent kuwa discredit wqlio jenga hayo maghorofa so hawawezi kuona kingineWewe jamaa sijui una matatizo gani? picha ya nane uliyoweka imekuelewesha clearly kabisa kilichotokea, kwamba tatizo halikuwa kwa maengineer wala madesigner, tatizo na hao machoko waliochimba shimo kwa mbele kwa ajili ya garage bila kufanyia reinforcement hilo shimo, halafu kifusi wakaenda kukiweka kwa nyuma, mvua ilivyonyesha kingo za shimo zililainika na ukiongeza na uzito wa msukumo wa kifusi walichoweka nyuma ya jengo basi shimo likaporomoka na kuangusha jengo.
Thank you,nimeshangaa anauliza ili hali majibu yapo hapoWewe jamaa sijui una matatizo gani? picha ya nane uliyoweka imekuelewesha clearly kabisa kilichotokea, kwamba tatizo halikuwa kwa maengineer wala madesigner, tatizo na hao machoko waliochimba shimo kwa mbele kwa ajili ya garage bila kufanyia reinforcement hilo shimo, halafu kifusi wakaenda kukiweka kwa nyuma, mvua ilivyonyesha kingo za shimo zililainika na ukiongeza na uzito wa msukumo wa kifusi walichoweka nyuma ya jengo basi shimo likaporomoka na kuangusha jengo.
Sasa wewe ndio una matatizo,Wewe jamaa sijui una matatizo gani? picha ya nane uliyoweka imekuelewesha clearly kabisa kilichotokea, kwamba tatizo halikuwa kwa maengineer wala madesigner, tatizo na hao machoko waliochimba shimo kwa mbele kwa ajili ya garage bila kufanyia reinforcement hilo shimo, halafu kifusi wakaenda kukiweka kwa nyuma, mvua ilivyonyesha kingo za shimo zililainika na ukiongeza na uzito wa msukumo wa kifusi walichoweka nyuma ya jengo basi shimo likaporomoka na kuangusha jengo.
Aah wap una tetea tuu,kwa nini wasitafute solution mapema??????basi usomi haujawasaidiaMbona picha namba nane imeeleza nini kimetokea
Safi mkuu,nimekusoma ndo maana unajiita Big IQShanghai Building Collapses, Nearly Intact
In the weekend's bizarrest news, a nearly finished, newly constructed building in Shanghai toppled over, killing one worker. As can be seen in the photo below, the 13-story apartment building collapsed with just enough room to escape what would have been a far more destructive domino effect...on.wsj.com
Sent using Jamii Forums mobile app