NINGEPENDA TANZANIA YA HIVI: Elimu bora, makazi bora, miundombinu bora, huduma bora za afya, fursa nyingi za ajira za kuajiriwa na kujiajiri, viongozi waadilifu, Uzalishaji viwandani na kuuza nje kwa wingi. Wastani wa miaka mingi ya kuishi (High life expectancy). Je wewe Ndugu yangu Mzalendo Mtanzania unapenda Tanzania ya namna gani? Changia mawazo.