Ningependa mnijuze!!

Ningependa mnijuze!!

Nimejaribu kutafakari kuhusu tendo la ndoa, ukiachilia kufanya tendo la ndoa kwasabab za kupata watoto, je kufanya tendo hilo kwasabab za kujifurahisha ni sahihi? Kwa sisi wakatoliki tunasema hata kutumia kondomu na vidonge vya uzazi wa mpango ni dhambi! Kwasabab gani? Ikiwa nataka kufanya tendo Hilo bila ya kuwa na lengo la kupata mtoto kwann isiwe dhambi Kwan nitakuwa nafanya uharibifu ule ule wa kupoteza mbegu! Kwa ndugu zangu waislamu sijui upande wao inasemaje, asanteni.

ingekuwa si sahihi tungeumbwa kama wanyama wengine ambao wanaingiliana kwa ajili ya kuzaana tu
 
I totally disagree with you, we always judge things base on right or wrong not otherwise, ni aidha kushoto au kulia mkuu.
Ok. . .thats how you believe,ngoja tuanze na hili. . .Ukimkuta mtu anazini na mkeo utachukua hatua gani mkuu?
 
Itategemea na nitakavyo react kwa wakati huo,I just don't see how ur question is related to my thread!
 
Kwann una amini ingekuwa sio sahihi tungeumbwa Kama wanyama mkuu? Mbona wajapan kwa kiasi kikubwa tendo la ndoa ni kwa ajili ya watoto tu wakimaliza kuzaa watoto hata hawalali tena pamoja lakini wanaendelea kuishi Kama mke na mume! Wana tofauti gani na binadamu wengine?
 
Hapa naona maluelue tu na somo langu shule ilikuuwa cookery
 
Ya kaisari ni yapi mkuu na yangu ni yapi? Sijakusoma!
 
Nimepata andiko linalo ruhusu sex for pleasure, 1 Corinthians 7:3-5, ila sielewi kwann wana ndoa wasitumie kondomu ikiwa hawana lengo la kupata mtoto, hii sheria nafikiri ibadilishwe.
Unajua kuna sheria zingine yapasa msomaji azichunguze kwanini ziliwekwa. Wakiruhusu matumizi official ya hiyo kitu dunia itatake advantage kwamba kanisa limeruhusu na wanaposema isitumiwe tujiuize je ni kweli haitumiwi hii kitu na wanandoa na pia turudi kwenye maandiko je yenyewe yanasemaje juu ya hili maana hiyo ndio reference nzuri.
 
Andiko linasema kuwa mwili wa mke ni Mali ya mume na hivyo hivyo mume ni Mali ya mke, watu hawa wawili wasinyimane lakin haimanishi, they can't compromise unaweza ukawa unataka kufanya tendo Hilo ila mwenzio amechoka, anaumwa na sababu nyingine nyingi, lakini halisemi kwa njia gani wanaweza fanya tendo Hilo kwa kujifurahisha, hapa matumizi ya uuaji hayako sahihi kwasabab Kama mimba haijatungwa uuaji unatoka wapi? Kwann kufanya tendo la ndoa bila kutumia kondomu isiwe uuaji wakati tunafahamu mbegu zitaharibika? Kama vile nikiamua kutumia kondomu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom