Ningependa mnijuze!!

Ningependa mnijuze!!

sokwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
2,022
Reaction score
1,062
Nimejaribu kutafakari kuhusu tendo la ndoa, ukiachilia kufanya tendo la ndoa kwasabab za kupata watoto, je kufanya tendo hilo kwasabab za kujifurahisha ni sahihi? Kwa sisi wakatoliki tunasema hata kutumia kondomu na vidonge vya uzazi wa mpango ni dhambi! Kwasabab gani? Ikiwa nataka kufanya tendo Hilo bila ya kuwa na lengo la kupata mtoto kwann isiwe dhambi Kwan nitakuwa nafanya uharibifu ule ule wa kupoteza mbegu! Kwa ndugu zangu waislamu sijui upande wao inasemaje, asanteni.
 
Dhambi ni kuua, ukifanya tendo la ndoa halafu mimba isitungwe utakuwa umeuaje?
Dawa za kuzuia mimba, hazizuii mimba kitungwa, ila zinazuia mimba kuingia kwenye mji wa mimba ndio maana ni dhambi.
 
Iweje mimba kutoingia kwa kutumia dawa au kondomu iwe uuaji! Kumbuka kinachokufa hapa ni mbegu.
 
Iweje mimba kutoingia kwa kutumia dawa au kondomu iwe uuaji! Kumbuka kinachokufa hapa ni mbegu.

Nikisema mimba maana yake zygote. Condom ni swala lingine, n l think with time kanisa laweza badilisha msimamo kwani fertilization inakuwa haijatokea.
Fertilization inatokea kwenye fallopian tubes na yai liliyopevushwa husafiri hadi kwenye uterus ambapo haiwezi ingia kama mtu katumia madawa ya uzazi wa mpango. Hivyo kizygote hufa na hutoka pamoja na Dali za mwezi, so kama mtu ana do kila mwezi basi anaflush watoto chooni kila mwezi kama sio kuchoma pamoja na pads.
 
I think you got my point to some extent, Kama fertilization haijatokea kwann iwe uuaji! Na Kama kufanya tendo la ndoa kwa lengo la pleasure sio dhambi japokuwa unakuwa unaepuka kitu kile kile (mimba) isiwe dhambi! Na pili kufanya tendo la ndoa kwa lengo la kutopata mtoto ni ruksa? Kwan ni uuaji wa mbegu pia!
 
Nimejaribu kutafakari kuhusu tendo la ndoa, ukiachilia kufanya tendo la ndoa kwasabab za kupata watoto, je kufanya tendo hilo kwasabab za kujifurahisha ni sahihi? Kwa sisi wakatoliki tunasema hata kutumia kondomu na vidonge vya uzazi wa mpango ni dhambi! Kwasabab gani? Ikiwa nataka kufanya tendo Hilo bila ya kuwa na lengo la kupata mtoto kwann isiwe dhambi Kwan nitakuwa nafanya uharibifu ule ule wa kupoteza mbegu! Kwa ndugu zangu waislamu sijui upande wao inasemaje, asanteni.

Ni sahihi kufanya kwa lengo la kijifurahisha ila ndani ya ndoa tu. Ni dhambi kwa Wakatoliki kwasababu Biblia Takatifu imesema zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi sasa kondom na vidonge vya nini.
 
Na kufanya kwa lengo la kujifurahisha tutaongezeka vp? Ni bora kusema tendo la ndoa ni kwa ajili ya kupata watoto tu mkuu.
 
mhm hapa panaitaji
katika maandiko yanasema kitu chochote kile kifanywacho na wanadamu kinyume na mapenzi ya Mungu ni dhambi, iiwe kuua, kuiba, kusema uongo, kutukana, kufanya uasherati na kuzini kinyume na tendo la ndoa ni dhambi pia hivyo hata hiyo yako ni dhambi kwani unafanya tendo ukiwa nje ya ndoa na sio ndani ya ndoa hivyo ni dhambi pia
Nimejaribu kutafakari kuhusu tendo la ndoa, ukiachilia kufanya tendo la ndoa kwasabab za kupata watoto, je kufanya tendo hilo kwasabab za kujifurahisha ni sahihi? Kwa sisi wakatoliki tunasema hata kutumia kondomu na vidonge vya uzazi wa mpango ni dhambi! Kwasabab gani? Ikiwa nataka kufanya tendo Hilo bila ya kuwa na lengo la kupata mtoto kwann isiwe dhambi Kwan nitakuwa nafanya uharibifu ule ule wa kupoteza mbegu! Kwa ndugu zangu waislamu sijui upande wao inasemaje, asanteni.
 
U miss the point ladyfurahia, nazungumzia watu walioana kwa ndoa kwann ni dhambi wakitumia kondomu kwa lengo la kujifurahisha iwe dhambi? Lakin wakifanya tendo Hilo Hilo la kujifurahisha bila kondomu iwe sio dhambi!
 
Ngoja tuwapishe wakatoliki mdiskasi kulingana na mafunzo yenu...

Binafsi naamini sex iliwekwa kwa ajili ya wanandoa kwa purpose ya uzazi na pleasure...
 
Nimepata andiko linalo ruhusu sex for pleasure, 1 Corinthians 7:3-5, ila sielewi kwann wana ndoa wasitumie kondomu ikiwa hawana lengo la kupata mtoto, hii sheria nafikiri ibadilishwe.
 
When you judge things in a 'Right or Wrong'basis unapotea. . .judge things as 'reasonable' is it reasonable to have sex with a condom, is it reasonable kutumia uzazi wa mpango? Is sex for fun reasonable? Hapo naona utapata jibu.
 
I totally disagree with you, we always judge things base on right or wrong not otherwise, ni aidha kushoto au kulia mkuu.
 
Mume atimize wajibu wake wa
ndoa kwa mkewe,naye vivyo hivyo mke kwa
mumewe.
Mwanamke hana mamlaka juu ya
mwili wake bali mumewe, wala mume hana
mamlaka juu ya mwili wake bali mkewe.
5
4
Msinyimane, isipokuwa mmekubaliana kufanya
hivyo kwa muda fulani ili mweze kujitoa kwa
maombi, kisha mrudiane tena ili Shetani asije
akapata nafasi ya kuwajaribu kwa sababu ya
kutokuwa na kiasi.
Nasema haya kama ushauri
na si amri.
7
6
Laiti watu wangekuwa kama mimi
nilivyo. Lakini kila mtu amepewa kipawa chake
kutoka kwa Mungu, mmoja ana kipawa cha
namna hii na mwingine ana cha namna ile.
Nimepata andiko linalo ruhusu sex for pleasure, 1 Corinthians 7:3-5, ila sielewi kwann wana ndoa wasitumie kondomu ikiwa hawana lengo la kupata mtoto, hii sheria nafikiri ibadilishwe.
 
Ngoja tuwapishe wakatoliki mdiskasi kulingana na mafunzo yenu...

Binafsi naamini sex iliwekwa kwa ajili ya wanandoa kwa purpose ya uzazi na pleasure...
hili somo nimepata sifuri hivi hivi najiona, mweeeee!
ngoja nikazane kumsoma best yangu Kaunga
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom