Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Ningependa Dr Slaa atoe ahadi hizi:
1. Akiingia madarakani fedha zote za mapato yote ya serikali zitokanazo na madini ya nchi hii zitumike katika kusomesha watoto wa nchi hii -- kuanzia primary hadi university level. Ni urithi wao kutoka kwa Mungu Mwenyezi, na siyo urithi wa wajanja wachache wakishirikana na watu wa nje.
2. Mali zote zilizochumwa na CCM kutokana na nguvu za wananchi wote wakati wa utawala wa chama kimoja zitaifishwe.
3. Wanaopatikana na hatia ya rushwa kuanzia ile ya Sh milioni 5 na kundelea wafungwe si chini ya miaka 30. Hukumu hii iwe sawasawa na ile ya majambazi watumiao nguvu au wale wanaotuhumiwa kubaka.
4. Mishahara yote ya watumishi wa umma, kuanzia Rais kwenda chini hadi mhudumu ofisi iwekwe wazi kwa wananchi wote kuijua -- kama vile ilivyo Marekani na nchi nyingine zilizoendelea. Kuna siri gani katika hili?
5......
6......
7.....
Ongezeni orodha hiyo wadau.
1. Akiingia madarakani fedha zote za mapato yote ya serikali zitokanazo na madini ya nchi hii zitumike katika kusomesha watoto wa nchi hii -- kuanzia primary hadi university level. Ni urithi wao kutoka kwa Mungu Mwenyezi, na siyo urithi wa wajanja wachache wakishirikana na watu wa nje.
2. Mali zote zilizochumwa na CCM kutokana na nguvu za wananchi wote wakati wa utawala wa chama kimoja zitaifishwe.
3. Wanaopatikana na hatia ya rushwa kuanzia ile ya Sh milioni 5 na kundelea wafungwe si chini ya miaka 30. Hukumu hii iwe sawasawa na ile ya majambazi watumiao nguvu au wale wanaotuhumiwa kubaka.
4. Mishahara yote ya watumishi wa umma, kuanzia Rais kwenda chini hadi mhudumu ofisi iwekwe wazi kwa wananchi wote kuijua -- kama vile ilivyo Marekani na nchi nyingine zilizoendelea. Kuna siri gani katika hili?
5......
6......
7.....
Ongezeni orodha hiyo wadau.