jakarason1974
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 103
- 50
Kama kweli Waziri wa mambo ya ndani ana elewa majukumu yake na umekaa kimya na mambo yanayoendeshwa na RC basi hakika haujui majukumu yako... Na kama ingekuwa mimi ndio Waziri wa mambo ya ndani hakika ningeng'atuka uwaziri.... huu ni udhalilishaji wa nafasi yako ya uwaziri na elimu yako ya first class