Ningekuwa Rais wa Zanzibar,corona ingekuwa kitu kidogo sana kupambana nayo

cutelove

JF-Expert Member
Oct 3, 2017
3,317
7,509
Kwa misimamo hii kutoka kwa jiwe,huu ugonjwa utawasumbua sana wazanzibar

Na kasi ya kuathirika na Covid 19 ipo kasi sana

Lakini ningekuwa Rais wa Zanzibar ningefanya yafuatayo

Funga mipaka majini na angani,hakuna meli kutoka Bara

Lockdown wote unguja na Pemba,mabenk ondoa riba au makato na kugawa chakula,watu milion sita ni wachache sana

Pima watu wote,populationi ya Zanzibar kuipima ni mwezi mmoja wanaisha

Hapo hujafaulu kuishinda Corona

Rais wa Zanzibar shtuka,ni rahis kupambana na corona Zanzibar kwa urahis mno kuliko bara

Bara isiwafanye mfanane ,watu wenu wanaumia kiurahisi na huku ni sekunde kupambana na corona Zanzibar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa misimamo hii kutoka kwa jiwe,huu ugonjwa utawasumbua sana wazanzibar

Na kasi ya kuathirika na Covid 19 ipo kasi sana

Lakini ningekuwa Rais wa Zanzibar ningefanya yafuatayo

Funga mipaka majini na angani,hakuna meli kutoka Bara

Lockdown wote unguja na Pemba,mabenk ondoa riba au makato na kugawa chakula,watu milion sita ni wachache sana

Pima watu wote,populationi ya Zanzibar kuipima ni mwezi mmoja wanaisha

Hapo hujafaulu kuishinda Corona

Rais wa Zanzibar shtuka,ni rahis kupambana na corona Zanzibar kwa urahis mno kuliko bara

Bara isiwafanye mfanane ,watu wenu wanaumia kiurahisi na huku ni sekunde kupambana na corona Zanzibar

Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati nzuri wewe sio rais wa zanzibar. Amka sasa kumekucha, achana na ndoto.
Na rahisi sana kujibanza ndani ya blanket kitandani kwako muda huu na hii baridi na kuandika haya kuliko kutenda. Eti funga mipaka, toa riba, gawa chakula etc...mambo yako simpo kiasi hiki kweli?
 
Tatizo koloni la Tanganyika,kujivika koti la Muungano na kujifanya ndiyo Tanzania,kweli mleta Uzi anahoja,Znz idadi ya watu hawazidi milioni moja na laki nane,utashindwaje kuweka mipango madhubuti?
 
Wazenji wanategemea utalii katika bajeti yao. Wangefata ushauri wako corona ingewaepuka ila mengine yangewapata.
 
Kwa misimamo hii kutoka kwa jiwe,huu ugonjwa utawasumbua sana wazanzibar

Na kasi ya kuathirika na Covid 19 ipo kasi sana

Lakini ningekuwa Rais wa Zanzibar ningefanya yafuatayo

Funga mipaka majini na angani,hakuna meli kutoka Bara

Lockdown wote unguja na Pemba,mabenk ondoa riba au makato na kugawa chakula,watu milion sita ni wachache sana

Pima watu wote,populationi ya Zanzibar kuipima ni mwezi mmoja wanaisha

Hapo hujafaulu kuishinda Corona

Rais wa Zanzibar shtuka,ni rahis kupambana na corona Zanzibar kwa urahis mno kuliko bara

Bara isiwafanye mfanane ,watu wenu wanaumia kiurahisi na huku ni sekunde kupambana na corona Zanzibar

Sent using Jamii Forums mobile app

Zanzibar population ya watu 6mil imefika lini boss?
 
Hujajua vizuri wewe kwa wageni wanaoingia zenji itaponea wapi..?
Hotel moja tu unakuta inawageni mpaka Mia au Mia mbili na kuendelea!
Kwanza mi naona ni bahati Sana maana hizi sehemu ndo zingekuwa za kwanza kuathirika naanza kuhisi ngozi nyeusi na korona Kuna kitu cha ziada!!

Sio rahisi kufunga mipaka na ulishe watu ati wasitoke nje!!
Kuna huduma Kama za maji utawafatia wewe..?
Si kila mtu anabomba kwake!
Wafunge halafu vipimo vipo dar..
Una uhalali wa kutokuwa rais😜
 
Back
Top Bottom