Ningekuwa Rais wa nchi ningethamini zaidi vipaji binafsi kuliko vyeti! Wenye vyeti wengi hawana tija

muafi

JF-Expert Member
Oct 6, 2015
2,115
4,801
Kitu kinachopelekea Tanzania tunakuwa nyuma kiteknolojia na kimaendeleo ni kuvipa vyeti kipaumbele kuliko ujuzi binafsi.

Mitaani kuna njemba zina fani na akili vibaya mno, kuna mtu nilimshuhudia katengeneza redio mtaani kwake yaani ilikuwa inasikika maeneo ya mtaani kwake na mitaa ya jirani, jamaa alibuni tu kwa kutumia vifaa vyake vya kawaida tu wala sio vile vya kutoka kwa mabeberu, lakini jamaa alipoanza kupata umaarufu hakuchukua raundi serikali wakamvaa na huo ukawa mwisho wake.

Nilimsikia jamaa mwingine nahisi kati ya Shinyanga au Singida yeye alikuwa ni mtaalamu wa kutengeneza mabomu, jamaa alikuwa anatengeneza mabomu yeye mwenyewe na yanalipiua kweli kweli baada ya kugundulika jamaa hakuchukua raundi baada ya kuendelezwa au hata kuajiriwa kwenye majeshi yetu alipewa zawadi ya kuwekwa ndani nadhani mpaka leo ananyea debe.

Kuna watu mitaani wanajua vitu vingi sana, wapo wanaozalisha umeme. Wapo wenye teknolojia mbalimbali lakini kwakuwa hawana vyeti wameishia kubaki hivyo hivyo walivyo.

Kwa tulipofikia hivi sasa tunapaswa hata silaha za jeshi tutengeneze wenyewe mimi ninaamini inawezekana, kuna njemba ziko mtaani zikiwezeshwa zinaweza kufanya hivyo vitu.

Matokeo yake watu wanaenda kuuza teknolojia nchi za nje, kuna jamaa wa Kigoma aliuza teknolojia ya majiko yanayotumia betri kwa wachina.

Mwingine naye kauza teknolojia ya kulipia gesi kwa UK.

Kuna watu wana Degree na Masters lakini hawana impact yoyote serikalini zaidi ya kula na kunywa tu.

Kuna watu wana uwezo mkubwa sana lakini hawaangaliwi, majeshi yetu pia yanahitaji watu wenye teknolojia kuna watu mtaani wanateknolojia za hali ya juu ni wadukuzi waliobobea, wapo watu wana uwezo wa kutengeneza silaha kiasi kwamba wakipewa sapoti tu wataikuza teknolojia kwenda viwango vingine lakini ndio hivyo wakikamatwa mwisho wao ni kunyea debe.

Mimi nafikiri sasa hivi tuangalie na wale wenye vipaji tuwasapoti kuliko kuangalia vyeti tu visivyo na tija.

Magenius tunao tuwape sapoti!

Unadegree nne tukikuuliza taifa umeshalifanyia nini huna cha kujibu, kwanini nisitafute la saba anayeweza kuniletea teknolojia mpya nikamuendeleza kwa faida ya taifa?

Waafrika tuache ushamba hata mabeberu huwa wanawathamini sana watu wenye vipaji binafsi!
 
Mfano kuna madktari na walimu walienda vyuo wakafaulu vizuri lakini hawana vyeti vya form four walifutwa kazi.kuna mtaalamu WA maabara alikuwa mfanyakazi Bora WA mkoa Kwa utendaji uliotukuka amefutwa kazi sababu ya Cheri cha form four! Sasa kaanjiliwa na shirika moja la kimarekani anapiga kazi kama kawaida.
Ushauri wangu ni kuwa: kama wangegundua kuna watu hawana vyeti vya form four wangewaacha wastaafu na kuanza kuakazia Kwa ajira mpya kuwa atakaye ajiriwa kuanzia muda huo laxima awe na cheti cha form four.
Wakenya wakikamata Daktari fake lakini serikali iliamua kumsomesha Kwa gharama ya serikali walijua anapenda kuwa Daktari.
Pili,wangachunguza vyeti vya taaluma kuangalia huyo mhusika kasomea kweli hiyo taaaruma yake? Wangebaini wale wenye vyeti fake taaaluma.Rais aingilie Kati kwani Hilo zoezi limeleta upungufu WA wafanyakazi usiokuwa WA lazima.
 
Kuna dactari feki aliyefanya upasuaji it kwa mamia ya aki na mama bila kifo chochote, ujuzi wa mtanzania mwenzetu umezimwa eti Hana vyeti kama wale wa Mloganzila.
 
Mfano kuna madktari na walimu walienda vyuo wakafaulu vizuri lakini hawana vyeti vya form four walifutwa kazi.kuna mtaalamu WA maabara alikuwa mfanyakazi Bora WA mkoa Kwa utendaji uliotukuka amefutwa kazi sababu ya Cheri cha form four! Sasa kaanjiliwa na shirika moja la kimarekani anapiga kazi kama kawaida.
Ushauri wangu ni kuwa: kama wangegundua kuna watu hawana vyeti vya form four wangewaacha wastaafu na kuanza kuakazia Kwa ajira mpya kuwa atakaye ajiriwa kuanzia muda huo laxima awe na cheti cha form four.
Wakenya wakikamata Daktari fake lakini serikali iliamua kumsomesha Kwa gharama ya serikali walijua anapenda kuwa Daktari.
Pili,wangachunguza vyeti vya taaluma kuangalia huyo mhusika kasomea kweli hiyo taaaruma yake? Wangebaini wale wenye vyeti fake taaaluma.Rais aingilie Kati kwani Hilo zoezi limeleta upungufu WA wafanyakazi usiokuwa WA lazima.
Waafrika kama vile tuna laana
 
This is Africa
The dark continent that we called home
Ushauri mwingine wale ambao hajafikia umri WA kustaaafu warudishwe kazini na wale waliostahiri kustaaafu wastaaafu Kwa mujibu WA Sheria.tunajua Rais ni mwingi rehema ata wasamehe hawa wanyonge wapiga Kura wake WA mwaka huu 2020.najua kila mtu anao watu wanaomtegemea zaidi ya 10 kwahiyo wataongeza Kura Kwa mheshiwa Rais wetu.
 
Kuna dactari feki aliyefanya upasuaji it kwa mamia ya aki na mama bila kifo chochote, ujuzi wa mtanzania mwenzetu umezimwa eti Hana vyeti kama wale wa Mloganzila.
Haya ndo mambo ya dark continent
 
Melanin zina athiri ubongo sana kama hamjui, yaani ukiwa mweupe kidogo Melanin ni kidogo pia na unakuwa mweupe km wazungu! na matendo unafanana nao! mfano kikwete, Mwinyi, Nyerere, Karume, mtoto, Majaliwa utadhani ndiyo Rais nk hawa walitawala vizuri

lkn Jiwe duuuuu! mweusi na mambo yake meusi ivoivo, hat a demu mweusi ivoivo!
 
Back
Top Bottom