Ningekuwa mwanachama wa CHADEMA....

Ushaur wa maana sana huu lakini hawakawii kukwambia umekengeuka...
 
Ushaur wa maana sana huu lakini hawakawii kukwambia umekengeuka...
 
Huwa naogopa sana sana kuweka elimu yangu kando na kuongozwa na hisia au mahaba niue...ni ujinga
 
Kwasasa, na tangu kuzaliwa kwangu, sina chama.
Kutokana na jinsi ninavyofuatilia comment zako wewe ni mwanasheria/wakili msomi inafaa sana uwe mwanachama wa chadema, au mojawapo wa vyama vya upinzani ili uwe huru kusaidia wanyonge wanaonyanyasika ndani ya taifa letu.

Lakini hilo la kumshauri mbowe asigombee tena inatakiwa ufafanue kwani ni tatizo gani ambalo anaweza kulisababisha endapo atagombea na kushinda uwenyekiti, na kwako binafsi ni sababu ipi unayoiona ambayo itapelekea chama kushindwa kustawi zaidi chini ya Mbowe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana mzuri kabisa. Jambo moja zuri ni kumuacha Mhe. Mbowe akaandaa mrithi wake ili wakati Magufuli anaondoka madarakani ( 2025) na kwenye uongozi wa chama chake naye aondoke. Watu wapya waingie kwenye shughuli za kisiasa.
 
CCM ndiyo hahitaji hata kuumizwa kichwa kujua kuwa ni mali ya nani.
 
Kwa point zipi kwamba asigombee tena? Wewe ndio wale wale wa CCM wanaolalamika kuwa Mbowe ndie anaeiua CHADEMA na hawamtaki
 
andiko lako lina ukakasi , hao wenye chadema unaowataja kwenye namba 1 yako ni akina nani ?

Jibu rahisi ni hili.
Kampuni binafsi inapoingia sokoni na watu kuweka mitaji yao (wanachama), kampuni inakuwa ya wenye hisa (wananchama/wawekezaji). Sasa tatizo hapo liko wapi!
'Rebuttal' ya hoja zake zote ni rahisi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…