Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
- Thread starter
- #21
Mkuu,Zitto ndiye anayeniiga uandishi. Punguza jazba Mkuu. Ha ha ha ha haUnacopy uandishi wa Zitto huku ukijiita msomi wa Chuo cha Kata Udsm
Mtaumbuka sana sana sana, Msomi Kama wewe Tafuta aina ya uandishi sio wa kuiga toka kwa Zitto kabwe, Pole sana mkuu
Kila Sehemu kuna wenyewe hata Udsm ina wenyewe,
Ccm mpya ina wenyewe
Ccm ya kinana Ilikuwa na wenyewe
Kila ofisi Kuna wenyewe.
Mbona Wewe Unafanya kazi zaidi ya miaka Saba Kwanini usiache kazi uruhusu damu changa
Unaogopa nini? Acha kazi hapo Udsm uuze maharage kwa mtogole